ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Haraka zake zimefanya hadi Chambers awe mchezaji wa Crystal Palace, sasa sijui Zaha ndo wa Arsenal?unapoandikia wanaume wenzio tulia uandike jambo linaloeleweka, sasa ikawaje? penalty au? kadi ya njano ikafutwa?
Ipo hata kwa CCM slsfu wakiambiwa wamekufa wanaanza kusema TUOMBEANE, kumbe wao ni waoga wa kifo lakini wamewapiga wenzao risasi, wamewatupa coco beach, wamewatupa ruvu.Niliongea wiki jana juu ya kukataliwa kwa goli la Genk wengi wakapinga...
Niliongea wenzetu hawa (hasa kwenye michezo)kwa haraka mara nyingi hawapendi kutupa credit sie blacks...hawataki kabisa kukubali kwa urahisi....sasa Zaha amefanyiwa rafu mbaya very clear na mchezaji wa crystal palace Chambers ndani ya box lakini refa kwa haraka na hasira Zaha akiwa kaanguka chini palepale akapigwa yellow na kuambiwa amejifanyisha amedanganya !
Mpaka baadae Var ndiyo zimekuja kumnusuru...
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi mbaya sana.ni sawa na kula nyama ya mtu nina hakika vituko vingi vya style hii tutaendelea kuvishuhudia japo waafrika wengi hawaamini hili...
andika taratibu maana unachanganya mambo.Niliongea wiki jana juu ya kukataliwa kwa goli la Genk wengi wakapinga.
Niliongea wenzetu hawa (hasa kwenye michezo) kwa haraka mara nyingi hawapendi kutupa credit sie Blacks; hawataki kabisa kukubali kwa urahisi. Sasa Zaha amefanyiwa rafu mbaya very clear na mchezaji wa Crystal Palace Chambers ndani ya box lakini refa kwa haraka na hasira Zaha akiwa kaanguka chini palepale, akapigwa yellow na kuambiwa amejifanyisha, amedanganya.
Mpaka baadaye VAR ndiyo zimekuja kumnusuru.
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi mbaya sana, ni sawa na kula nyama ya mtu. Nina hakika vituko vingi vya style hii tutaendelea kuvishuhudia japo Waafrika wengi hawaamini hili.
We ndo mbaguzi, na unaleta ubaguzi wako, sasa kile kitendo kimeingiaje Kwenye ubaguzi wa rangi.Niliongea wiki jana juu ya kukataliwa kwa goli la Genk wengi wakapinga.
Niliongea wenzetu hawa (hasa kwenye michezo) kwa haraka mara nyingi hawapendi kutupa credit sie Blacks; hawataki kabisa kukubali kwa urahisi. Sasa Zaha amefanyiwa rafu mbaya very clear na mchezaji wa Crystal Palace Chambers ndani ya box lakini refa kwa haraka na hasira Zaha akiwa kaanguka chini palepale, akapigwa yellow na kuambiwa amejifanyisha, amedanganya.
Mpaka baadaye VAR ndiyo zimekuja kumnusuru.
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi mbaya sana, ni sawa na kula nyama ya mtu. Nina hakika vituko vingi vya style hii tutaendelea kuvishuhudia japo Waafrika wengi hawaamini hili.
Sijasema penalty haijapigwa naongelea mapokeo ya kwanza na reaction tunazofanyiwa,wanavyotuchukulia weusiUnapoandikia wanaume wenzio tulia uandike jambo linaloeleweka, sasa ikawaje? Penalty au? Kadi ya njano ikafutwa?
ibanezafrica
Calum Chambers ni mchezaji wa Crystal palace na ndiye aliyecheza rafu ile....hata wewe unao wenzako mliofanana majina.Haraka zake zimefanya hadi Chambers awe mchezaji wa Crystal Palace, sasa sijui Zaha ndo wa Arsenal?
Inawezekana aiseekwa hyo hao wanaondesha VAR ni watu weusi ndo maana wakaamuru iwe penalty
Calum Chambers ni mchezaji wa Crystal palace na ndiye aliyecheza rafu ile....hata wewe unao wenzako mliofanana majina.
Ilikuwaje tena penalty ipigwe kwenda goli la arsenal wakati Zaha aliyefanyiwa na aliye cheza rafu wote wa Crystal Palace.........!Calum Chambers ni mchezaji wa Crystal palace na ndiye aliyecheza rafu ile....hata wewe unao wenzako mliofanana majina.
Mkuu unajidharirisha, kama hujui kitu si unyamaze tu.Calum Chambers ni mchezaji wa Crystal palace na ndiye aliyecheza rafu ile....hata wewe unao wenzako mliofanana majina.
Sidhani kama mwandishi kafikiria ukicho fikiriaNyerere alisema dhambi ya ubaguzi mbaya sana, ni sawa na kula nyama ya mtu. Nina hakika vituko vingi vya style hii tutaendelea kuvishuhudia japo Waafrika wengi hawaamini hili.