ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Niliongea wiki jana juu ya kukataliwa kwa goli la Genk wengi wakapinga.
Niliongea wenzetu hawa (hasa kwenye michezo) kwa haraka mara nyingi hawapendi kutupa credit sie Blacks; hawataki kabisa kukubali kwa urahisi
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi mbaya sana, ni sawa na kula nyama ya mtu. Nina hakika vituko vingi vya style hii tutaendelea kuvishuhudia japo Waafrika wengi hawaamini hili.
Niliongea wenzetu hawa (hasa kwenye michezo) kwa haraka mara nyingi hawapendi kutupa credit sie Blacks; hawataki kabisa kukubali kwa urahisi
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi mbaya sana, ni sawa na kula nyama ya mtu. Nina hakika vituko vingi vya style hii tutaendelea kuvishuhudia japo Waafrika wengi hawaamini hili.