"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!


kqaaaah???..... basi weewe ndo utakua yule ajae
 
Wakati unasubiri jibu la Pasco uwe unapitia Jitambue sasa ya Apollo hutajuta

"Jitambue sasa" nilikuwa naisoma lakin si kwa maanani ila baada ya kuusoma uzi a Pasco (nguvu za miujiza kila mmoja anazo) ikabidi ntafute blog yake nkakosa ndipo nikamkumbuka jamaa mmoja anaitwa Rakiim nikatafuta blog yake nikakosa sasa wewe ndo umenizindua usingizin kuwa ile blog ya JITAMBUE SASA inamuhusu Apollo huwa naipitia juu juu nikijua jitambue sasa nao ni wadokozi tu kama ina muhusu kweli Apollo wacha niifuate.
 
Last edited by a moderator:

Mi nimeijua ile blog kupitia Apollo amekuwa akiitaja kwenye nyuzi zake tofauti tofauti humu jukwaani, nami toka nilipoanza ukisoma umekuwa ikinijenga sana
 
Last edited by a moderator:
Mkuu pasco sijui nina kitu gani... lakin nahis kama nina will power ya kujua hatar inayokuja mbele yangu..... na huwa sikosei kabisa.

Na pia naweza tabir jambo... na likaja kutokea..
 
Mambo Pasco, hii 2022, vipi Malaria ushapata au bado power within inaendelea? I real like your posts hasa hizi za spiritual awakening.
 
Never!, na sio malaria tuu, hata...
Naomba nisimalizie...
P
Nimekuelewa hahahahahaa......guess what niliposoma hizi habari 2014, tayari mie nilikua natabia ya kujisemea siwezi umwa malaria bila kujua kama zina power. Mie toka 2011 sijanywa dawa hizo hadi leo.
Sema niliposoma post zako ndio nikafunguka macho zaidi. Ufanikiwe sanaa katika maisha yako.
 
Naweza kufahamu tabia mbalimbali za watu kwa kuwaangalia tu pindi nikikutana nao bila hata ya kufahamiana nao,nikipita barabarani huwa natabasamu kimoyomoyo tu Mana ninavyowachambua watu akilini hahh,kuna jamaa angu mmoja yy nafikiri sasa hivi amenistukia basi akitaka kufanya kitu na mtu lazima anijulishe na kuniuliza huyu jamaa vipi unamuonaje,nikimwambia huyo ni mwizi atakupa hasara au ni mnafiki atakuharibia Basi jamaa anaachana naye,alishakaidi vingi huko nyuma na kilichompata anakifahamu,Kuna jamaa nilimwambia kuwa huyu mgeni wako ni mlawiti,jamaa alikasirika na tuligombana,basi baada ya wiki anarudi kwangu analia eti kuwa mwanae amelawitiwa na yule mgeni aliyekuja kwake...Nina visa vingi sanaaaa...
 
Dunia ya leo ni mbaya sana kuruhusu mgeni kuja kulala ndani hasa na watoto,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…