"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!

"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu za Kufanya Miujiza ya Uponyaji kwa Imani. Kila Mtu Anazo!

Mkuu Kamanda, sijasema popote Yesu haponyi nimesema Yesu alifanya miujiza ya uponyaji na hadi kumfufua Lazaro!.

Ninachozungumzia humu ni zile nguvu za uponyaji zinatoka wapi?!. Wengi wanaponywa kwa kutumia neno tuu "Katika Jina Yesu, Uponywe!", au mapepo yatoke!. Jee kinachoponya ni nini?!, ni hilo jina linaingia ndani yako na kukuponya?!, yaani wengi wanadhani ni jina ndilo linaloponya!, No!. Wengine wanadhani ukiisha lija "Kwa Jina la Yesu" hizo nguvu za uponyaji, zinatoka kwa yule muhubiri wa uponyaji, na Yesu analeta nguvu, na kukuingia wewe na kukuponya, na ndio maana ukiisha ponywa unaambia sema "Asante Yesu!".

Ninachofundisha mimi humu ni kuwa hizo nguvu, hazitoki kwa Mhubiri, wala haziletwi na Yesu!, hizo nguvu zimo ndani yetu, ziliwekwa na Mungu mwenyewe ile siku ulipotuumba kwa mfano wake!. Kinachofanywa na Jina la Yesu, ni kuzifungulia tuu hizo nguvu zilizoko ndani yako na kufanya muujiza wa uponaji, Jina la Yesu ni catalyst tuu, nguvu ziko ndani yetu, na namna ya kuzitumia ni kuamini tuu!, ndio maana hata Yesu mwenyewe, wale aliyewaponya, aliwaambia kilichowaponya ni "imani yao!".

Haya sio mambo ya NWO, hii nimkweli tuu ambayo sio wengi wanaifahamu na kuitumia!, nimekuambia sijakwenda hospital more than 20 years nikiumwa chochote ukiondoa ile ajali niliyoipata!, where does hiyo NWO comes in?!.

Kweli hii ninayoifundisha humu, ndio kweli hii hii iliyofundishwa na Yesu mwenyewe, tofauti yangu ni kuwa broader zaidi kuwa ukiamini kuwa you have the powers, hizi nguvu zitafunguliwa na kufanya uponyaji regardless wewe ni wa imani gani!.
Its about opening the gates of powers from within you!.
Pasco.
Natamani Ulimwengu mzima ungepata Ufahamu huu, tungekuwa sehemu salama sana. Kinacho sikitisha zaidi hata Yesu mwenyewe aliuweka wazi ulimwengu kuwa "Imani yako Imekuponya". Hakusema kitu kingine kama dini/ dhehebu/ utamaduni wala kanisa fulani. Inasikitisha sana.
Kama Kuna mtu bado hajakuelewa ndo bas tena imekula kwake atahangaika kwa waganga na kumtafuta makanisa ya Uponyaji hali yakuwa Uponyaji umo ndani mwake. Ni kuamini tu, Kila kitu kinajiset.
 
Kwa walioshindwa kufanya meditation zipo njia rahisi sana nilizojifunza kupitia kitabu hiki nilichonacho cha Meditation. Kama unataka unufaike na meditation na kuifanya kwa njia rahisi zaidi na baadaye kuona matokeo yake nicheki Pm nikutumie.
Kizuri kula na wenzio, the most important thing in life, is the air that we breath, it's free. Kama hicho kitabu unacho, kiweke hapa kuwa shared for free na sio kuitana inbox na kuishia kubomiana na kupigana mizinga!.
P
 
Kizuri kula na wenzio, the most important thing in life, is the air that we breath, it's free. Kama hicho kutabu unacho, kiweke hapa kuwa shared for free na sio kuitana inbox na kuishia kubomiana na kupigana mizinga!.
P
𝙼𝚔𝚞𝚞 𝚗𝚊𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚞𝚏𝚊𝚏𝚊𝚗𝚞𝚣𝚒 𝚔𝚒𝚍𝚘𝚐𝚘. 𝙼𝚊𝚛𝚊 𝚔𝚠𝚊 𝚖𝚊𝚛𝚊 𝚗𝚒𝚖𝚎𝚔𝚞𝚠𝚊 𝚗𝚒𝚔𝚒𝚔𝚞𝚝𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚗𝚊𝚖𝚋𝚊 11 𝚙𝚒𝚗𝚍𝚒 𝚗𝚒𝚔𝚒𝚜𝚎𝚖𝚊 𝚝𝚞 𝚕𝚊𝚋𝚍𝚊 𝚗𝚒𝚌𝚑𝚞𝚔𝚞𝚎 𝚜𝚒𝚖 𝚗𝚒𝚌𝚑𝚎𝚔𝚒 𝚔𝚒𝚝𝚞 𝚏𝚕𝚊𝚗𝚒 𝚔𝚒𝚜𝚒𝚌𝚑𝚘𝚑𝚞𝚜𝚒𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚖𝚞𝚍𝚊, 𝚕𝚔𝚗 𝚗𝚒𝚔𝚒𝚝𝚞𝚙𝚒𝚊 𝚓𝚒𝚌𝚑𝚘 𝚔𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚝𝚒𝚖𝚎 𝚗𝚊𝚔𝚞𝚝𝚊 𝚖𝚞𝚍𝚊 𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎 𝚍𝚔 11. 𝚖𝚏𝚊𝚗𝚘 𝚔𝚖 𝚗𝚒 𝚜𝚊𝚊 6 𝚋𝚊𝚜𝚒 𝚍𝚔 11, 𝚊𝚞 𝚔𝚖 𝚗𝚒 𝚜𝚊𝚊 2 𝚍𝚔 11 𝚗𝚊 𝚠𝚊𝚔𝚊𝚝𝚒 𝚖𝚠𝚒𝚗𝚐𝚒𝚗𝚎 11:11. 𝙷𝚒𝚒 𝚒 𝚊𝚝𝚘𝚔𝚊𝚗𝚊 𝚗𝚊 𝚗𝚒𝚗𝚒 𝚔𝚠𝚊 𝚖𝚞𝚘𝚗𝚘 𝚠𝚊𝚔𝚘?
 
Kaka sjawah kujua kwamba Kuna Mambo Kama hayo.wangetufundishaga mashukeni ingekuaje???????
 

Attachments

  • JamiiForums-1347950702.jpg
    JamiiForums-1347950702.jpg
    100.4 KB · Views: 58
Pascal Mayalla huu uzi wako uliuandika katika ufahamu wa juu Sana hakika wewe ni hazina na sasa umekuwa Tunu.

'From within ' Ina kitu kikubwa nadhani inabidi maana unatabiri mambo na yanakuwa katika taifa letu.
Clap👏🏼
 
Pasco tupo pamoja na unazidi kunipa nguvu zaidi. Naomba unisaidie ktk hili. Nikiwa mdogo nilikua nikiwaza kitu kinatokea. Mfano tulikua na jiran yetu ambe tangu nikae hapo sikuwai kumuona. Siku moja huyo jiran alitoka nje bibi yangu akamsalimia. Nikamuuliza bibi mbana huyu simjui akasema ni.jiran yetu.na yupo hapa siku zote nikamjibu hata angekufa jana ningejiuza sana yukoje. Ajabu usiku ule alikufa. Nilishangaa sana. Tukio lingine kuna kaka mmoja nilikutana nae akiwa amelewa sana nikawaza huyu anaweza akagongwa na gari na maiti yake isijulike ona anavoyumba. Baada ya mda nikasikia kagongwa na tren. Matukio hayo. Na mengine mengi yalikua yakitokea. Sasa mimi.mtu mzima, bado.najihisi.nina nguvu za miujiza ila sijajua jinsi ya kuzitumia vizuri. Mf lilibahatika kuwa na watoto wa kike tu. Baada ya miaka 8 bila kupata mtoto nilitaman tena kupata mtoto wa kiume.ile hali ilinisukuma sana na ikapelekea kuanza kununua nguo za kiume, viatu. Nk vyote vihusuvo mtt wa kiume nikiwa sina hata mimba. Miezi 7 badae nilipata ujauzito rohon niliamin.kabisa ajae ni mtoto wa kiume. Na jina nililokua nalo rohon ni.gudluck. sikuwahi kujadili na baba ake lolote juu ya mtt ajae. Baada ya miez 9 Nilipikea mtt wa kiume nilipomjulisha baba ake akanoambia asante huyo ataitwa gudluck. Shuhuda mwingine ni huu ndani kwangu kulikua na mende wengi wasioisha hata upulize dawa vip. Siku moja nikachukua maji nikayaombea kisha nikanyunyiza ndan nikaondoka huku nikisema nikirudi mende wote watakua wamekufa. Niliporudi nilishangaa kuona mende wate wamekufa na ni miaka 3 sasa wale mende hawapo. Naweza nikakaa nikawaza ghafla kuwa mume wangu ana mwanamke nashika simu.nampigia halafu namuomba anipe huyo alie nae nimsalimie atakata simu atazima akiamin huwenda nimemuona ajabu sijamuona ila alimudithia mdogo wake kuwa anajiuliza sana nina nini kwani kila ninachomwambia huwa ni.kweli na wakati mwingine huwa mikoan. Alimwambia mdogo wake imefika mahali ananigopa kwani kila ninachamtahadharisha asipozingatia hutokea. Naomba no.ya simu ili unipe ushauri zaid..binafs mimi ni.mkristo ila siamin kabisa kuombewa naamini.kujiombea, siamin mch, padri, askofu, nabii, mitume nk. Yaan siamin kabisa kabisa. Naamin sana mimi kama mimi.
Mimi hua inanitokea mara nyingi sana nikiwaza nyimbo flani then within seconds naiskia inapigwa kwenye radio or boda inapita ina mziki au gari whatever imenitokea mara nyingi sana! Hua najiuliza hii coincidence vp?

Pia dejavu ya kuhisi hii sehemu, matendo nayofanya kama nishawahi fanya naona familiarity kubwa sana

Mkuu pasco nahis watu wengi hua wanaona vi dalili flani vya ajabu ila wanapuuzia, mama yangu mara nyingi nikiumwa ananipigia kabla ata sijamwambia ananiambia hayuko comfortable anahis kuna k2 kinanisumbua na kweli nakua mgonjwa muda huo.

Swali langu how do one embrace and fully utilize that will power?
 
Back
Top Bottom