Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Vijana hawana huruma na mama zao.
29 kwa 50![emoji23]
Naomba msiniletee habari za rejea.
29 kwa 50![emoji23]
Naomba msiniletee habari za rejea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan pac hakula? Si alikuwa namuonea wivu kwasababu alijua jada anampenda sana pac au?Alikua anamuonea wivu Tupac sasa ameruhusu kajamaa kale mke wake,si angemruhusu Tupac wakati ule
demu anasema waliishia denda na Pac but anakiri alimpenda sana Pac,Smith ana hasiraKwan pac hakula? Si alikuwa namuonea wivu kwasababu alijua jada anampenda sana pac au?
Jamaa ana roho ya kusharr mapenzi lakini hana roho ya kuvumilia utani 😕
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan sasa? UwiiiiihDawa za presha, vidonda vya tumbo na kukosa usingizi soko lake litakufa!
Muongo sana jaddah kaliwa mnoo na 2pac msieeew zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]demu anasema waliishia denda na Pac but anakiri alimpenda sana Pac,Smith ana hasira
Ana nyota na bahati [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Jada ana nyota jmn dahh
Kwny Maisha Mungu tujalie bahati uzuri sio issue