Will Smith asitumiwe tena kuwakilisha mbuga zetu

Will Smith asitumiwe tena kuwakilisha mbuga zetu

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Baada ya kumzaba Kibao Chris Rocks hadharani kwenye hafla ya Oscar Will Smith hana sifa na hadhi ya kuwakilisha na kutangaza Mbuga zetu iwe Bure, hiari, kujitolea ama kulipwa.

Video zote alizopiga Serengeti na vivutio vingine nchini ziondolewe au kufutwa.

Hii itasaidia zaidi kuitangaza nchi yetu na kuindolea aibu na doa kwa mtu mzima kama huyu kushindwa kuzuia hisia zake hadharani.

Wizara na wadau wa utalii wachukue hatua stahiki na za haraka sana ili kuepusha sintofaham ambayo inaweza kujitokeza.

 
Wenye nchi watakushangaa kuleta mambo ya wazungu, huku hata ukifumaniwa unaendelea tu na wadhifa wako.
Baba askofu kamkula kondoo wa bwana na bado akazawadiwa jimbo kama pongezi kwa ujasiri aliounesha kwenye ule mkanda wake wa video.
 
Makofi hayatuhusu sisi tunaangalia umaarufu wake unatufaidisha vipi kijana,ukieleweka hapa bongo kwa hoja yako nchi itakuwa imetoka gizani.
 
Baada ya kumzaba Kibao Chris Rocks hadharani kwenye hafla ya Oscar Will Smith hana sifa na hadhi ya kuwakilisha na kutangaza Mbuga zetu iwe Bure, hiari, kujitolea ama kulipwa.

Video zote alizopiga Serengeti na vivutio vingine nchini ziondolewe au kufutwa.

Hii itasaidia zaidi kuitangaza nchi yetu na kuindolea aibu na doa kwa mtu mzima kama huyu kushindwa kuzuia hisia zake hadharani.

Wizara na wadau wa utalii wachukue hatua stahiki na za haraka sana ili kuepusha sintofaham ambayo inaweza kujitokeza.


Ule ulikuwa utani
 
Vibao vyao havihusiani na Mbuga zetu. Sisi tunajali umaarufu wake.
 
Baada ya kumzaba Kibao Chris Rocks hadharani kwenye hafla ya Oscar Will Smith hana sifa na hadhi ya kuwakilisha na kutangaza Mbuga zetu iwe Bure, hiari, kujitolea ama kulipwa.

Video zote alizopiga Serengeti na vivutio vingine nchini ziondolewe au kufutwa.

Hii itasaidia zaidi kuitangaza nchi yetu na kuindolea aibu na doa kwa mtu mzima kama huyu kushindwa kuzuia hisia zake hadharani.

Wizara na wadau wa utalii wachukue hatua stahiki na za haraka sana ili kuepusha sintofaham ambayo inaweza kujitokeza.


Hakufanya vizuri, ila tusiwe kama dodoki.
 
mimi sioni kama jama kakosea ingekua wewe ungefurahi mkeo dada au mama yako au mwanao wa kike wana m bully hadharani dunia nzima inashuhudia tena kwa ugonjwa ambao kweli anao kuna vitu vinakera tena lile kofi dogo angemfyeka mtama kama ule wa adamu mchomvu alio mfumua mbasha amtie adabu.
 
mimi sioni kama jama kakosea ingekua wewe ungefurahi mkeo dada au mama yako au mwanao wa kike wana m bully hadharani dunia nzima inashuhudia tena kwa ugonjwa ambao kweli anao kuna vitu vinakera tena lile kofi dogo angemfyeka mtama kama ule wa adamu mchomvu alio mfumua mbasha amtie adabu.
Bora useme wee mwenzangu
 
Baada ya kumzaba Kibao Chris Rocks hadharani kwenye hafla ya Oscar Will Smith hana sifa na hadhi ya kuwakilisha na kutangaza Mbuga zetu iwe Bure, hiari, kujitolea ama kulipwa.

Video zote alizopiga Serengeti na vivutio vingine nchini ziondolewe au kufutwa.

Hii itasaidia zaidi kuitangaza nchi yetu na kuindolea aibu na doa kwa mtu mzima kama huyu kushindwa kuzuia hisia zake hadharani.

Wizara na wadau wa utalii wachukue hatua stahiki na za haraka sana ili kuepusha sintofaham ambayo inaweza kujitokeza.


Huyo katuwakilisha vyema watz na kama una bisha wewe ikiingia kitaa halafu semea mbovu mke wa mtu na mwenyewe yuko hapo kama hajakuchuna ngozi ukiwa hai akaivaa na kwenda nayo mpirani kucheck game ya simba
 
Back
Top Bottom