Will Smith asitumiwe tena kuwakilisha mbuga zetu

Alichofanya ni sawa tu, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Mwenye hataki kwa nini unaendelea kumletea masihara...
 
Kwanza kwa huu mkasa ndiyo atatutangazia vizuri zaidi vivutio vyetu.
 
Unateseka kutokea pande gani mwa tanzania?
 
No wonder umeamua kujiita hilo jina.
 
Ukikua, utaelewa maana ya kutunza Heshima ya Familia yako kwa Gharama Yoyote ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…