nalimwengu
Member
- Jul 28, 2015
- 24
- 67
Basi poa Kama mlima Kilimanjaro. Majizi tu 254
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You must belong to the McNaghten category of mental corrosion. Ulielewa chochote nilichosema kweli??Mkuu nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri,kwa taarifa yako Watalii hawaji hivihivi bila marketing,na hii ni mbinu moja kubwa sana ya kuvutia watalii,Will Smith anao mashabiki wengi sana duniani ambao wakisikia amekuja Tanzania tena kutembelea mbuga ya wanyama they will be very interested to do the same.usifikiri hao Waganda au Wakenya ni wajinga kujitangazia kuwa Mr Smith alikuwa kwao."WAKE UP"
Will Smith yupo sasakwa Serengeti Tanzania. Wakenya waache ujambazi na wizara ya maliasili na utalii inashindwaje kuieleza dunia na uma wa watanzania will na Jada wapo hapa?Regional Air hub yake iko Arusha,, sasa cjui kama ni kweli willy yuko kenyaa
He is in Tanzania. Waangalie hiyo picha. Huyo alie nae hapo anaitwa captain Abeid R. Soka. Ni pilot wa Serengeti balloon safaris. Na ameruka nae leohizi nchi za jirani ni viazi,Will Smith yuko Tanzania ila awaachi kujidanganya kuwa yuko nchini mwao. Wajinga.![]()
Hapo ni sasakwa Serengeti Tanzania. Huyo hapo ni pilot mtanzania anaitwa captain Abeid Soka. Ni pilot wa Serengeti balloon na aliruka naeprove kwamba alipitia JKIA.
Wala hamna ujinga wowote. Yule ni famous worldwide, ikijulikana apikuja hapa 1. Watalii haswa wamarekani watataka kuna na mwenyewe hapa.If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.
Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.
Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.
If your mind is conquered, you are going nowhere.
We are not talking about a mere citizen here but someone Popular, famous...Just imagine kama Lion Mess angekuwa ni mchezaji kutoka Africa then akaenda kutembelea states za America...its obvious hata na wao pia watakuwa curious...watajivunia na watamshangaa pia na kupiga nae picha.If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.
Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.
Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.
If your mind is conquered, you are going nowhere.
Not so fast the case is still alive, ati unasema hapo ni Wilson airport and regional air ilimchukuwa kumpeleka Serengeti. Is Wilson airport look that dusty?? Na regional air ni kampuni ya wapi?? Yani wakenya kama angetuwa JKIN hakuna hata mtu mmoja aliye mpiga picha?? Lying with your straight face, no shame no remorse. SMHAlitua jkia, kisha akachukua ndege ya regional air from wilson airport (nairobi) to the serengeti,hapo ndipo hio picha ilipopigwa. Case closedView attachment 478317
First of all, some Kenyan decided to publish a lie, huo ndio mwanzo wa vitimbwi vyote hivi. Second, have you seen an America boasting London Bridge is in US? Or British saying Hollywood is in London??If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.
Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.
Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.
If your mind is conquered, you are going nowhere.
Uuuuwiiii na funza wote wale wa Kenya? [emoji15]![]()
Wakora @ work.
Unaejaribu kumuelewesha ni jirani yetu...ni moja ya hizo nchi zinazojitangaza juu ya Ujio wa Huyo bwana.Mkuu nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri,kwa taarifa yako Watalii hawaji hivihivi bila marketing,na hii ni mbinu moja kubwa sana ya kuvutia watalii,Will Smith anao mashabiki wengi sana duniani ambao wakisikia amekuja Tanzania tena kutembelea mbuga ya wanyama they will be very interested to do the same.usifikiri hao Waganda au Wakenya ni wajinga kujitangazia kuwa Mr Smith alikuwa kwao."WAKE UP"
Yaani hapo Will smith atapeleka US Funza wa kutosha...kwsbb Kenya kuna funza kila mahali hadi kwenye viti vya ndege.Hawa watu hawanaga aibu
Huyu unaemjibu ni mkenya kwa hiyo anatetea Wizi wenzakeFirst of all, some Kenyan decided to publish a lie, huo ndio mwanzo wa vitimbwi vyote hivi. Second, have you seen an America boasting London Bridge is in US? Or British saying Hollywood is in London??