Will Smith in Masai Mara

Will Smith in Masai Mara

Mkuu nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri,kwa taarifa yako Watalii hawaji hivihivi bila marketing,na hii ni mbinu moja kubwa sana ya kuvutia watalii,Will Smith anao mashabiki wengi sana duniani ambao wakisikia amekuja Tanzania tena kutembelea mbuga ya wanyama they will be very interested to do the same.usifikiri hao Waganda au Wakenya ni wajinga kujitangazia kuwa Mr Smith alikuwa kwao."WAKE UP"
You must belong to the McNaghten category of mental corrosion. Ulielewa chochote nilichosema kweli??
 
Regional Air hub yake iko Arusha,, sasa cjui kama ni kweli willy yuko kenyaa
Will Smith yupo sasakwa Serengeti Tanzania. Wakenya waache ujambazi na wizara ya maliasili na utalii inashindwaje kuieleza dunia na uma wa watanzania will na Jada wapo hapa?
 
f186fc834ad43594875ef4a25ef6c602.jpg
hizi nchi za jirani ni viazi,Will Smith yuko Tanzania ila awaachi kujidanganya kuwa yuko nchini mwao. Wajinga.
He is in Tanzania. Waangalie hiyo picha. Huyo alie nae hapo anaitwa captain Abeid R. Soka. Ni pilot wa Serengeti balloon safaris. Na ameruka nae leo
_20170308_154845.JPG
 
If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.

Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.

Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.

If your mind is conquered, you are going nowhere.
Wala hamna ujinga wowote. Yule ni famous worldwide, ikijulikana apikuja hapa 1. Watalii haswa wamarekani watataka kuna na mwenyewe hapa.
2. Nchi Yetu itajulikana. Wakenya kila siku wanatangaza Serengeti na Kilimanjaro ipo kwao. Hizi ndo fursa za kuitangaza nchi Yetu.
 
If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.

Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.

Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.

If your mind is conquered, you are going nowhere.
We are not talking about a mere citizen here but someone Popular, famous...Just imagine kama Lion Mess angekuwa ni mchezaji kutoka Africa then akaenda kutembelea states za America...its obvious hata na wao pia watakuwa curious...watajivunia na watamshangaa pia na kupiga nae picha.
 
Alitua jkia, kisha akachukua ndege ya regional air from wilson airport (nairobi) to the serengeti,hapo ndipo hio picha ilipopigwa. Case closedView attachment 478317
Not so fast the case is still alive, ati unasema hapo ni Wilson airport and regional air ilimchukuwa kumpeleka Serengeti. Is Wilson airport look that dusty?? Na regional air ni kampuni ya wapi?? Yani wakenya kama angetuwa JKIN hakuna hata mtu mmoja aliye mpiga picha?? Lying with your straight face, no shame no remorse. SMH
 
If at all African countries are to develop, This silly inferior mentality has to stop.

Sasa ushawai skia marekani ama uingereza wakibabaika mkitembea kwao?? Yet here we are arguing whether or not he's in Kenya, Tz ama UG.

Im sure he's looking at us Africans kama wajinga. Huu ndio ukoloni wa Akilini.

If your mind is conquered, you are going nowhere.
First of all, some Kenyan decided to publish a lie, huo ndio mwanzo wa vitimbwi vyote hivi. Second, have you seen an America boasting London Bridge is in US? Or British saying Hollywood is in London??
 
Mbona hii ni mara ya pili will kuja tz hawajui
 
Mkuu nna wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri,kwa taarifa yako Watalii hawaji hivihivi bila marketing,na hii ni mbinu moja kubwa sana ya kuvutia watalii,Will Smith anao mashabiki wengi sana duniani ambao wakisikia amekuja Tanzania tena kutembelea mbuga ya wanyama they will be very interested to do the same.usifikiri hao Waganda au Wakenya ni wajinga kujitangazia kuwa Mr Smith alikuwa kwao."WAKE UP"
Unaejaribu kumuelewesha ni jirani yetu...ni moja ya hizo nchi zinazojitangaza juu ya Ujio wa Huyo bwana.
 
First of all, some Kenyan decided to publish a lie, huo ndio mwanzo wa vitimbwi vyote hivi. Second, have you seen an America boasting London Bridge is in US? Or British saying Hollywood is in London??
Huyu unaemjibu ni mkenya kwa hiyo anatetea Wizi wenzake
 
Nimejaribu kuizoom picha moja iliyopigwa wilson airport nairobi.Kwenye shati la huyo binti limeandikwa equity bank.Binti huyo ni teller kwenye benki ya equity wilson airport branch. Jina lake ni pauline.
Screenshot_2017-03-09-15-27-27.png
 
Back
Top Bottom