Akitaka afanye kazi vizuri ni kuhakikisha anawaondoa wote alokuja nao Erio.
Huyu amenyanyasa sana walokuwa wafanyakazi wa NSSF alowakuta, aanze na IDARA YA RASILIMALI WATU awaondoe wote walotoka PPF, then idara ya fedha.
Hizo sehemu mbili kuu za kushughulikia ipasavyo asipepese macho
Huyu amenyanyasa sana walokuwa wafanyakazi wa NSSF alowakuta, aanze na IDARA YA RASILIMALI WATU awaondoe wote walotoka PPF, then idara ya fedha.
Hizo sehemu mbili kuu za kushughulikia ipasavyo asipepese macho