William Erio: Mwisho wa Enzi kwa Boss wa NSSF au Mwanzo Mpya?

William Erio: Mwisho wa Enzi kwa Boss wa NSSF au Mwanzo Mpya?

Sheria ya Mashirika imefutwa. Hivyo kwa sasa Watumishi wote wapo chini ya Utumishi. Kuhamishwa kutoka kwenye Shirika la umma kwenda Halmashauri au Serikali Kuu ni jambo la kawaida tangu awamu ya 5 iingie madarakani.

Ni matumaini yetu Mama ataangalia tena hilo eneo ili utaratibu wa zamani urejeshwe.
Ningekuwa na uwezo wa kukupa like 10 ningekupa. Likini kwakuwa uwezo ni moja tu, chukua hiyo
 
Hizo zilikua hisia tu mkuu, ukiangalia safu ya uongozi enzi za Magu wasukuma walikua wachache sana.
Acha uongo, wasukuma walitapakaa kila secta, mwamba alikuwa mkabila, mdini, msiasa za ovyo, na ambae ktk uongoz wake alijitahidi sana kutugawa ktk nyanja zote, aende akapumzike alipojiandalia
 
Erio kazi kubwa aliyokuwa anafanya hapo nssf ni kuhamisha staffs wa Nssf na kuwapeleka halmshauri na kuingiza staffs wa PPF kwa kuamin hawataweza kumhujumu.

Besides hata kuondoka kwa Kyaharara inasemekana ni Erio alienda kupika majungu kwa mwendazake ili aweze chukua yeye hiyo nafas kwa kutumia mgongo wa Benjamin Mkapa (Hayati(, leo pasaka anaitafunia kijiweni, Mungu anatisha
Kumbe ni mtata?
 
Acha uongo, wasukuma walitapakaa kila secta, mwamba alikuwa mkabila, mdini, msiasa za ovyo, na ambae ktk uongoz wake alijitahidi sana kutugawa ktk nyanja zote, aende akapumzike alipojiandalia
Wataje hao wasukuma waliotapakaa kila sekta

Unaweza kufafanua udini wa Magufuri ulikua vipi?
 
Erio alimfanyia figisu bwana mmoja pale PPF, sitamsahau kamwe
Roho mbaya inalipiwa hapa hapa kabla hujafa ...Jameni serikalini watu huundiana hujuma za ajabu..Hawana utu hata kidogo...Sio Erio tu ..majuzi nimekutana na Mtumishi wa TPA amefurahi kupita kiasi kisa boss kafukuzwa.

Wale wanaoshika Madaraka sijui kama wanajifunza hasa madaraka ya umma haya.

Vilio vilikua vingi sana..watumishi wengi wameumia sana ama kuhamishiwa hovyo tu na wengine kudhalilishwa kwa chuki.

Ofisi nyingi zilikua na vilio hata ofisi aliyokua Mama kuna watumishi walilalama sana mateso ya mkuu wao mmoja pale .Naamini mama ataondoa hali hii.
 
Besides hata kuondoka kwa Kyaharara inasemekana ni Erio alienda kupika majungu kwa mwendazake ili aweze chukua yeye hiyo nafas kwa kutumia mgongo wa Benjamin Mkapa (Hayati
Niliumia sana Prof Kahyarara kuondolewa NSSF. Ililiathiri shirika la NSSF kwa kiasi kikubwa sana. Tulio karibu na shirika tunajua. Na tangu Prof aondoke hapo shirika limetikisika sana (numbers never lie) na hata leo iitwe press conference waeleze performance ya shirika na miradi yake mtashangaa.

William Erio amedumu kama DG wa shirika la PPF (tangu mwanzo wa miaka ya 2000) na baadaye NSSF kwa kiasi kikubwa kutokana na mjomba wake (hayati Mkapa) kumshikilia kwa muda mrefu.

Ngoja ale mafao sasa hivi. Na hii mifuko ikichunguzwa mtastaajabu nawaambia
 
Mifuko ni shamba la bibi ndio ambako serikali inachuma bila kurudisha na hao ma DG nao wanakuuuula mpaka wanavimbiwa kumbuka Dau yaani juzi kaanza kutamani kurudi wakati yeye ni balozi huko Malaysia kisa alijua mama angemrudisha yeye fiswady mkubwa yule maaluni kabisa
 
Sema tumerudi kwenyr kutolewa station A kupelekwa B!! MTU anaonekana hatoshi anasogezewa pengine kisa woga wa kutumbua!!
Mlizoea watu kutumbuliwa ndo ilikuwa furaha yenu,huyo mwendazake alitumbua wangapi na akawarejesha ,wengine si alikuwa anatumbua kufurahisha watu tu .
Siyo yeye aliye mtumbua Mataragio akamrudisha tena,si yeye alomtumbua Kichere TRA akampleka kuwa RAS badae akamchagua kuwa CAG,si yeye alomtumbua Kidata ,badae akamchagua kuwa Kidata kuwa Baloz na kumnyang'anya ubalozi ,badae akamchagua kuwa RAS...
Si yeye alimtumbua MWIGULU akamrejesha tena kwenye cabinet,sisi yeye alomtumbua SIMBACHAWENE akamrejesha tena.
Sisi yeye alomsamehe DED kahama kwa kununua gari la 400milioni.
Kuwa na kumbukumbu.
 
Mlizoea watu kutumbuliwa ndo ilikuwa furaha yenu,huyo mwendazake alitumbua wangapi na akawarejesha ,wengine si alikuwa anatumbua kufurahisha watu tu .
Siyo yeye aliye mtumbua Mataragio akamrudisha tena,si yeye alomtumbua Kichere TRA akampleka kuwa RAS badae akamchagua kuwa CAG,si yeye alomtumbua Kidata ,badae akamchagua kuwa Kidata kuwa Baloz na kumnyang'anya ubalozi ,badae akamchagua kuwa RAS...
Si yeye alimtumbua MWIGULU akamrejesha tena kwenye cabinet,sisi yeye alomtumbua SIMBACHAWENE akamrejesha tena.
Sisi yeye alomsamehe DED kahama kwa kununua gari la 400milioni.
Kuwa na kumbukumbu.
Mnapenda kumwongelea marehemu!!! Mifano miiingi kwani nimemtaja wapi kuwa hakurejesha watu?? Kuwa na uelewa!!
 
Mnapenda kumwongelea marehemu!!! Mifano miiingi kwani nimemtaja wapi kuwa hakurejesha watu?? Kuwa na uelewa!!
Umeongea huna reference ukimaanisha tumerud enz za JK kiasi kwamba mwendazake yeye hakuwahi kufanya hivo,kwan mama hajamtumbua MKURUGENZI wa TPA juzi au hukuona?
 
Back
Top Bottom