Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waturudishie FAO LA KUKOSA AJIRANiliumia sana Prof Kahyarara kuondolewa NSSF. Ililiathiri shirika la NSSF kwa kiasi kikubwa sana. Tulio karibu na shirika tunajua. Na tangu Prof aondoke hapo shirika limetikisika sana (numbers never lie) na hata leo iitwe press conference waeleze performance ya shirika na miradi yake mtashangaa.
William Erio amedumu kama DG wa shirika la PPF (tangu mwanzo wa miaka ya 2000) na baadaye NSSF kwa kiasi kikubwa kutokana na mjomba wake (hayati Mkapa) kumshikilia kwa muda mrefu.
Ngoja ale mafao sasa hivi. Na hii mifuko ikichunguzwa mtastaajabu nawaambia
Naona wanatajwa watu wake watu wake "the oldboys gang" basi na wao wapelekwe halmashauri au serikali kuu ili wasimpotoshe mteule mpya.
Safi sana kwa kuweka record sawa.Mlizoea watu kutumbuliwa ndo ilikuwa furaha yenu,huyo mwendazake alitumbua wangapi na akawarejesha ,wengine si alikuwa anatumbua kufurahisha watu tu .
Siyo yeye aliye mtumbua Mataragio akamrudisha tena,si yeye alomtumbua Kichere TRA akampleka kuwa RAS badae akamchagua kuwa CAG,si yeye alomtumbua Kidata ,badae akamchagua kuwa Kidata kuwa Baloz na kumnyang'anya ubalozi ,badae akamchagua kuwa RAS...
Si yeye alimtumbua MWIGULU akamrejesha tena kwenye cabinet,sisi yeye alomtumbua SIMBACHAWENE akamrejesha tena.
Sisi yeye alomsamehe DED kahama kwa kununua gari la 400milioni.
Kuwa na kumbukumbu.
Sawa mkuu..nilikuwa nawatahadharisha MAKABURU wa Kitanzania wasije wakaanza mashambulizi yao ya kikabili na kikanda.
Mtoto wa dadake mkapa(mmakonde)
Watumishi wa NSSF ni wa umma hao mkuu. Ila mfuko ni kwa ajili ya watumishi wa binafsi/privateUnasema, “...Hili alilionyesha sana kipindi ameteuliwa kwenda NSSF ambapo licha ya kuhamisha hamisha wafanyakazi lundo waliokuwa wazoefu hapo NSSF na kuwapeleka Serikali Kuu, Halimashauri n.k alihakikisha anabeba viongozi aliokuwa nao PPF na kuhamia nao wote NSSF...” Really?
Mkurugenzi wa NSSF aliwezaje kuhamisha wafanyakazi kutoka NSSF kwenda Serikali Kuu na halmashauri? Wafanyakazi wa NSSF nao wako chini ya Civil Service?
Amevurugwa na kuondoka kwa mungu wake mtukufu mwendazakeNimemsoma toka kule kwa Kidata nadhani amerukwa na akili
Hao huwezi kuwakuta halmashauriHata Mke Wa CS Wa Sasa Ndugu. Katanga Mkewake Yuko Nssf Mkoa Wa Temeke, Idara ya Operation
Sawa kabisa huyu DF ana roho mbaya zaidi ya Izrael mmtoa roho pia alikuwa anajivunia (Mkuu) wanatoka chimbo 1 hata Erio alikuwa anamgwaya kwa dizaini fulani. Mshomba aanze naye huyu ITAPENDEZA ZAIDIErio alishirikiana na Director of finance wa sasa nssf wakati ule alikua chief accountant mkulazi akitokea ppf, huyu DF ndye aliandika hundi na kuipeleks kwa Erio eti kahyarara alitaka kuiba 200m Erio akapeleka kwa JPM ndo akamtumbua Kahyarara.
Huyu bwana na timu yake ya ppf bwana Mshomba waondoke wote waende nao halmashauri
ileNenda kamwambie mzee wako tunamkaribisha nyumban masasi tuendelee na kilimo chetu mama Cha korosho,
Mimi huyo awepo asiwepo haniongezei wala hanipunguzii,maisha yetu sisi wakulima tushayazoea,pia kama alikuwa anastaafu alikuwa anasubiria nin??
Basi kastaafishwa kwa lazima,mfikishie pole zetu
Mshamba naskia na mtu mwenye roho mbaya sana
Katoka WCF huyu aliyetumbuliwa ndo team ppfAshauriwe fasta management aihamishe haraka sana, ni mapopo tu yale then aendelee na kizazi alichotoka macho ppf, other wise watamhujumu
Halafu ni kilaza piaSawa kabisa huyu DF ana roho mbaya zaidi ya Izrael mmtoa roho pia alikuwa anajivunia (Mkuu) wanatoka chimbo 1 hata Erio alikuwa anamgwaya kwa dizaini fulani. Mshomba aanze naye huyu ITAPENDEZA ZAIDI
Jamaa zake sasahivi wamekua wapole sana, huyu Erio ana roho kama shetwani, sura yake haifanani na roho yakeJamaa alikuwa na team yake JF ya kumuongelea vizuri. Ukipita tu uzi wa kumuhusu yeye unakuta wakina mpepokigoma sijui bahati 1980 🤣🤣🤣 wanakuchangia kama vita vya Somalia nyingine sijui alikuwa anazituma mwenyewe. Kila lenye mwanzo lina mwisho muaache akamenye korosho Ntwara huko bei imepanda. Thats the end of his chapter KAZINGUA SANA.