William Erio: Mwisho wa Enzi kwa Boss wa NSSF au Mwanzo Mpya?

William Erio: Mwisho wa Enzi kwa Boss wa NSSF au Mwanzo Mpya?

.. William Erio siyo Mchaga.

..nilikua natoa angalizo tu ndugu zetu Mataga / kamati ya CHUKI.

..niko tayari kuvurumishiwa matusi.
Sio. Wachaga ni Urio sio Erio. Huyo Erio nafikiri ni Mnyasa au wa kanda hizo hizo!
 
Sikujua wamakonde nao wana roho mbaya kama wasukuma.
Huyu pamoja na kua mjombake alikua rais lakini ana roho ya kimaskini sana, anapenda aone wenzake wanateseka.
Matamanio yangu baada ya anguko hili basi Mungu ampe adhabu kubwa ajutie alowatendea wenzake.Maombi na sala za nssf staff pluss wale alowafukuza ppf plus maombi ya kahyarara yamesaidia kumpa aibu.
Sasa alowaacha nssf toka ppf mjiandae nyooooo.
Erio mmakonde mtoto wa dadake marehemu mkapa
 
Mshomba Alikuwa ni Deputy Wa Head Of PSU pale Makumbusho.
acha uongo wewe! mshomba alikuwa director of finance Pssf, baadae akashimda interview ya kuwa Commisioner of custom Tra, ila akapigwa chini akapendekezwa awe DG Wcf (nafasi yake alipewa masamaki )
 
Sikujua wamakonde nao wana roho mbaya kama wasukuma.
Huyu pamoja na kua mjombake alikua rais lakini ana roho ya kimaskini sana, anapenda aone wenzake wanateseka.
Matamanio yangu baada ya anguko hili basi Mungu ampe adhabu kubwa ajutie alowatendea wenzake.Maombi na sala za nssf staff pluss wale alowafukuza ppf plus maombi ya kahyarara yamesaidia kumpa aibu.
Sasa alowaacha nssf toka ppf mjiandae nyooooo.
We mtu ni fala sana, hivi wasukuma walikutia mimba ama? au waliwahi kukulawiti? mbwa kabisa.
 
Maisha yanaenda kasi sana. Nipo kwenye DART mwendokasi ya Gerezani namuona mtu kama Erio kashika bomba kasimama sijui nimpishe kiti aah lakini wacha tu aendelee kusimama 🤣🤣😂🕺
 
Erio, angeendelea miaka5 nssf ingekuwa kama Yanga, inapitisha Bakuli kuomba wachangiwe pesa.
Wanachama mnapaswa kumshukuru Mungu,na kumshukuru mama kwa kufanya maamuzi yalomshindwa Mwendazake, shirika Erio alikuwa analipeleka kuzimu.
Cant imagine, the same management iloididimiza ppf,ndio hiyohiyo imehamishiwa nssf,na serikali inaona na kunyamaza!!! Ili waue a nssf?
 
Erio, angeendelea miaka5 nssf ingekuwa kama Yanga, inapitisha Bakuli kuomba wachangiwe pesa.
Wanachama mnapaswa kumshukuru Mungu,na kumshukuru mama kwa kufanya maamuzi yalomshindwa Mwendazake, shirika Erio alikuwa analipeleka kuzimu.
Cant imagine, the same management iloididimiza ppf,ndio hiyohiyo imehamishiwa nssf,na serikali inaona na kunyamaza!!! Ili waue a nssf?
Hapo ndipo niliposhangaa, nssf ilikuwa strong kuliko mifuko yote, ppf ulikua mfuko wa pili dhaifu ukiacha pspf sasa sjui rais alikubalije majungu ya Erio hadi kumteua, Erio amekuja na management toka ppf, na wengine maofisa wa kawaida mfano TM,CA hawa wamepewa maeneo ambayo ni nyeti na hawayamudu, hasa huyu TM ambaye hata bajeti inamshinda, walikumbatia kila kitu wao wenyewe na kuwafanya wale wa nssf kama yatima.
Malipo yoyote hayakubaliki kama hayamgusi staff toka ppf, ukienda uhasibu vitengo vyote wamepewa supervisors toka ppf, wameshindwa kufanya finalization ya accounts hadi kukodi watu wakati wahasibu wa nssf ni wabobezi na miaka yote wamekua wakifunga hesabu timely.
Mshomba Mrudishe kalanje akufanyie kazi.
Ondoa takataka zote za ppf peleka huko mkoani rudisha wahasibu nguli wa nssf hapo makao
 
Side tunahitaji pesa zetu tu ugomvi ni mwiko mtupe mafao yetu na FAO LA hiari mlitoe kwani halina uhalisia Wa neno lenyewe. Hiari halafu lazima ufikishe miaka 55 hiari IPO wapi hapo
 
Back
Top Bottom