D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Lakini jamaa anazidi kusisitiza anaomba arudi nchini na Mh Mwigulu Nchemba alishazungumza kuwa yeye haoni kosa la jamaa ila vyombo vya usalama bado vinasisitiza kuwa jamaa ni threat kwa taifa.
Kuna nini nyuma ya huyu jamaa kwa wanaojua tafadhali