Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RipLeo ni leo.Mawaziri wa zamani wanadondoka tu.R.I.P
Je tutafika?Miaka 70s, wameondoka upesi.
Sio huyoHuyu ndio alifunguliwa makesi na mkapa
Mimi nimeongelea vigogo! Hayo masuala mengine naona kama unanionea tu. Na wewe kama unataka kuzungumzwa, basi kuwa tu kigogo, au mtu maarufu. Kinyume na hapo, hakuna atakaye kuzungumzia.Si suala la kuna nini Muhimbili. Kuna masikini wengi pale wanakufa kila siku tena kwa kukosa pesa ya kujitibu. Hufuatilii kwa sababu wao siyo maarufu.
Leo ni leo.Mawaziri wa zamani wanadondoka tu.R.I.P
theory of population and ageing nazipenda sana namba huwa hazidanganyi ishi utakavyoishi weka matozo unavyoweza waambie watakula nyasi waambie watalima kwa meno waite farasi na wewe ndo chama umeshika hatamu unawanyoosha waite raia wana akili za kawaida waambie asietaka tozo ahamie Burundi waite kichwa cha mwendawazimu wewe ni waziri kwamisha bwawa lao la umeme waambie raia wanaolala njaa kuwa hivi ni vijisenti tu sijui pesa ya mboga watukane raia unavyoweza ila uzee upo unakuja mdogo mdogo na vigogo wote tutaenda nao tu na mashangingi yao yale ambayo ni kodi za wanyonge watayaacha yamepaki uani!!Kama hawa vibosile hawatoboi 80
Sisi pangu pakavu 50 tutafika kweli
Kwa hiyo kwenye sensa ndio wamejitoa dah
Thithi na Covid-19 damu damu na kamwe hatudhuriani,hata jela tunatoana kuthibitisha udugu na urafiki wetu,hata ulaji tunapeana gereji.Wengine tunasema let mdhunguuu,let mdhunguuu,let mdhunguuu,x10🤔Weeee !!! sema thuuuu !!
Nani huyo?Mmoja taabani .
[emoji38][emoji38][emoji38]Waziri wa zama zipi? Mbona hatumjui?
Hapa ndio maana halisi ya maisha.78 huku wanakufa 77 Odinga anapambania urais Kenya!!
Waziri wa zamani wa Uchukuzi William Kusila (78) amefariki dunia leo mchana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili .
Chanzo : Mwananchi
Tena vibosile wanaongoza kuwa na maradhi mbonaKama hawa vibosile hawatoboi 80
Sisi pangu pakavu 50 tutafika kweli
Kwa hiyo kwenye sensa ndio wamejitoa dah