Pre GE2025 William Lukuvi Akoshwa Na Uchapakazi wa Rais Samia. Ataka Apewe Mama Kuongoza Hadi 2035

Pre GE2025 William Lukuvi Akoshwa Na Uchapakazi wa Rais Samia. Ataka Apewe Mama Kuongoza Hadi 2035

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa William Lukuvi Amekoshwa na uchapa kazi wa Rais Samia katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na kasi ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Ambapo Mheshimiwa Lukuvi ambaye awali alikuwa mshauri wa Rais wetu Mpendwa katika masuala ya siasa, Ameonyesha kiu na matamanio hayo pale aliposema kuwa RAIS Wetu amefanya vyema kwa miaka mitatu hii na tunapaswa kumpatia mitano mingine na mingine mitano tena.Ambapo hiyo ikimaanisha ni mpaka Mwaka 2035.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia:

- Rais Samia atakuwepo madarakani hadi 2035?


- Kuelekea 2025 - Kassim Majaliwa: Rais Samia Mitano tena, na mimi bado nauhitaji Ubunge
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa William Lukuvi Amekoshwa na uchapa kazi wa Rais Samia katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na kasi ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Ambapo Mheshimiwa Lukuvi ambaye awali alikuwa mshauri wa Rais wetu Mpendwa katika masuala ya siasa, Ameonyesha kiu na matamanio hayo pale aliposema kuwa RAIS Wetu amefanya vyema kwa miaka mitatu hii na tunapaswa kumpatia mitano mingine na mingine mitano tena.Ambapo hiyo ikimaanisha ni mpaka Mwaka 2035.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia:

- Rais Samia atakuwepo madarakani hadi 2035?


- Kuelekea 2025 - Kassim Majaliwa: Rais Samia Mitano tena, na mimi bado nauhitaji Ubunge
nadhani kwakua ndugu Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan, anatuongoza vizuri, na kazi yake inaonekana, huku nia na dhamira yake njema ikiwa wazi kwa waTanzania wote,

ni jambo la maana na muhimu zaidi akapewa nafasi zaidi, ili afanye kazi kubwa na nzuri zaidi kwa Taifa..
 
nadhani kwakua ndugu Rais na kipenzi cha waTanzania wote Dr.Samia Suluhu Hassan, anatuongoza vizuri, na kazi yake inaonekana, huku nia na dhamira yake njema ikiwa wazi kwa waTanzania wote,

ni jambo la maana na muhimu zaidi akapewa nafasi zaidi, ili afanye kazi kubwa na nzuri zaidi kwa Taifa..
Naunga mkono hoja
 
Kama ni awamu ya 6, basi kwa uelewa wangu ana mi5 kwani ni awamu mpya, ila kama ya 5 ni awamu ya JPM inamaliziwa na msaidizi wake hivyo basi kuna mawili:

1. Nafasi ya kupitisha mgombea mpya kwenye chama akiwemo yeye.

2. Atakayepitishwa akashinda ana miaka 10 ya kuliongoza taifa hata kama ni yeye.

Unless tunaposema awamu hatumaanishi vipindi vya miaka bali mtu, hapa anaweza kweli kumalizia iliyopo na akapewa nafasi ya miaka 10. Atakuwa raisi wa 1 kutawala miaka zaidi ya 10 ukimtoa Nyerere.
 
inaweza kufanyiwa marekebisho kidogo kama katiba ya Chadema, na Rais akapata fursa hiyo muhimu ya kuongoza zaidi...

kwani kuna ubaya wowote hapo ndrugu zango? 🐒
Mbowe anastahili kukatwa makofi kwa kung'ang'ania madaraka je una hamu Mama yenu nae akatwe makofi kwa kuvunja katiba?
 
Lukuvi hana akili katiba hairuhusu
Hapa kama wakitaka hili hoja itakuja kuwa hii aliyoongoza haikuwa yake bali alikamilisha ya aliyetangulia mbele za haki na sasa anapewa ya kwake. Nani ataenda kupinga mahakamani? Mbowe?
 
Utekaji na mauaji yaendelee , Mama amejigeuza chura kiziwi na kushindwa kuwafikia watanzania kwa utumishi wake mbovu usiogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Mbwa wa Shamba Mama HATOSHI kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Mbowe anastahili kukatwa makofi kwa kung'ang'ania madaraka je una hamu Mama yenu nae akatwe makofi kwa kuvunja katiba?
sumu haionjwi kwa ulimi aliambiwa waziri mkuu mstaafu wa awamu ya3 na chairman baada ya kuutaka uenyekiti wa Chadema Taifa 🐒

mbaya zaidi , ukijaribu kumkata makofi huyo muungwana, yeye anakuwahi anakukata life tu 🐒
 
Back
Top Bottom