Pre GE2025 William Lukuvi Akoshwa Na Uchapakazi wa Rais Samia. Ataka Apewe Mama Kuongoza Hadi 2035

Pre GE2025 William Lukuvi Akoshwa Na Uchapakazi wa Rais Samia. Ataka Apewe Mama Kuongoza Hadi 2035

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Utekaji na mauaji yaendelee , Mama amejigeuza chura kiziwi na kushindwa kuwafikia watanzania kwa utumishi wake mbovu usioridhisha wa usiogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Mbwa wa Shamba Mama HATOSHI kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mama ANATOSHA vyema na vizuri sana kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Kasome somo la uraia darasa la 3
Unachotakiwa kujua, Samia Hadi sasa anakula makombo ya mwendazake ambayo anamaliza 2025, baada ya hapo CCM ikiwapendeza watampitisha Samia kama mgombea wao wa 2025 - 2030, muhula wa kwanza uo na muhula wa pili ni 2030-2035, hyo ndio point ya Lukuvi.
 
Unachotakiwa kujua, Samia Hadi sasa anakula makombo ya mwendazake ambayo anamaliza 2025, baada ya hapo CCM ikiwapendeza watampitisha Samia kama mgombea wao wa 2025 - 2030, muhula wa kwanza uo na muhula wa pili ni 2030-2035, hyo ndio point ya Lukuvi.
Punguza kuleta ujuaji kwenye mambo usiyo ya jua, ikiwa Rais atakufa madarakani na makamu wa Rais akaapishwa na kutumikia nafasi hiyo kwa miaka mi3 au zaidi Makamu wa Rais ataruhusiwa kugombea kwa miaka mi 5 tu ya uchaguzi mkuu utakao fata na siyo zaidi ya hapo.
Kama angetumikia nafas ya Rais kwa kipindi kisichozidi miaka mi3 hapo ndo angeruhusiwa kugombea kwa vipindi viwili .
Kasome katiba acha kuandika upuuzi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa William Lukuvi Amekoshwa na uchapa kazi wa Rais Samia katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na kasi ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Ambapo Mheshimiwa Lukuvi ambaye awali alikuwa mshauri wa Rais wetu Mpendwa katika masuala ya siasa, Ameonyesha kiu na matamanio hayo pale aliposema kuwa RAIS Wetu amefanya vyema kwa miaka mitatu hii na tunapaswa kumpatia mitano mingine na mingine mitano tena.Ambapo hiyo ikimaanisha ni mpaka Mwaka 2035.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia:

- Rais Samia atakuwepo madarakani hadi 2035?


- Kuelekea 2025 - Kassim Majaliwa: Rais Samia Mitano tena, na mimi bado nauhitaji Ubunge
2035 karibu wampe hadi 2050.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa William Lukuvi Amekoshwa na uchapa kazi wa Rais Samia katika utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM pamoja na kasi ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Ambapo Mheshimiwa Lukuvi ambaye awali alikuwa mshauri wa Rais wetu Mpendwa katika masuala ya siasa, Ameonyesha kiu na matamanio hayo pale aliposema kuwa RAIS Wetu amefanya vyema kwa miaka mitatu hii na tunapaswa kumpatia mitano mingine na mingine mitano tena.Ambapo hiyo ikimaanisha ni mpaka Mwaka 2035.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia:

- Rais Samia atakuwepo madarakani hadi 2035?


- Kuelekea 2025 - Kassim Majaliwa: Rais Samia Mitano tena, na mimi bado nauhitaji Ubunge
Hizo za extended period mnazoanza ndio zinaleta chuki kwa mh rais

Chuja cha kusambaza

Mama respect katiba
 
Hizo za extended period mnazoanza ndio zinaleta chuki kwa mh rais

Chuja cha kusambaza

Mama respect katiba
Chuki ipi wakati sisi ndio wenye Nchi? Au hujuwi sisi wananchi ndio wenye mamlaka ya kumuweka Rais Madarakani na ndio tunamamlaka ya kumuweka hadi 2035
 
Back
Top Bottom