Za nyumba zao bila shaka.Waliomwita Magufuli mshamba walikuwa na hati miliki ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za nyumba zao bila shaka.Waliomwita Magufuli mshamba walikuwa na hati miliki ya nini?
Hahaha haya ndiyo matikiti maji ya Lumumba na MsogaWe kweli mbbbwa ,kwani huyo Mumeo Lukuvi kazaliwa hawe waziri?! Hivi nyie mmerogwa? Dikteta ameharibu kweli mentality zenu kkkkenge nyie
Umagufuli utakuua wewe.Tatizo mmejaa chuki tu na watu wa Pwani.Huyo Ridhiwan alikudhulumu kiwanja chako?Pia busara na uwezo wa January huufikii hata robo,na si wewe tu,kuanzia Lukuvi,Kalemani hadi huyo mungu wenu mwendazakeNani asiyejua kuwa alionewa?
Unamtoa Lukuvi unamweka fisadi Ridhiwani jambazi kuu wa ardhi?
Nani asiyejua kazi kubwa aliyofanya LukuviLukuvi aliiheshimisha wizara ya ardhi sana.
Nimegudua wanasiasa hawana utashi wa kuwahudumia wananchi 100%
Alichofanya rais ni mfano tosha kuwa hayuko siriaz kuona wananchi wakipata huduma bora, kwa kuwaondoa;
A. Lukuvi
B. Kalemen
Hawa ndugu mapengo yao yanaonekana.
Majasho na nguvu walizozitoa kututumikia Mungu atawalipa.
Bila huruma tumwletewa MAGARASHA...Makamba na Riz moja ili waje kujitajirisha tu.
Gawaneni ma udongo wa nchi hii ikiwezekana tulipie jua na hewa...
Mambo haya ya fitina hutuondolea uzalendo...watu huanza kutafuna nchi wakijua hata wakijituma ni bure.
Huyo Lukuvi wenu ndio imetoka hiyoo, na 2025 ubunge hanaHahaha haya ndiyo matikiti maji ya Lumumba na Msoga
Jumbe Brown..Hili jina mbona sio geni! Kama nilishawahi kukuona mitaa ya Regent Estate hivi... Mtu fulani American Height, HAHAH 😁😁
Anapuyanga tuMama ni nyoka tu. Pale alipoona watu wanashangaa kuwatoa mawaziri mahiri kama prof kabudi na lukuvi akajiwa na ulaghai kujidai atawapa kazi ambazo wala kikatiba hazipo.
Ni mjinga tu anafikiri suala la kuweka jamaa zake au kusawazisha dini wakristo na waislaam ni muhimu kuliko weledi na uadilifu wa mtendaji.
Unaweka watu kama januari makamba na nape nnauwe watu hawana nidhamu wala weledi in expense ya mtu kama prof kabudi. Hata ridhiwani ni upendeleo tu kuwekwa ardhi ili wapige mission.
Mama mungu anakuona. We hope mwisho wako ni 2025.
Mama ni nyoka tu. Pale alipoona watu wanashangaa kuwatoa mawaziri mahiri kama prof kabudi na lukuvi akajiwa na ulaghai kujidai atawapa kazi ambazo wala kikatiba hazipo.
Ni mjinga tu anafikiri suala la kuweka jamaa zake au kusawazisha dini wakristo na waislaam ni muhimu kuliko weledi na uadilifu wa mtendaji.
Unaweka watu kama januari makamba na nape nnauwe watu hawana nidhamu wala weledi in expense ya mtu kama prof kabudi. Hata hiridhiwani ni upendeleo tu kuwekwa ardhi ili wapige mission.
Mama mungu anakuona. We hope mwisho wako ni 2025.
Hodari kuzungusha maneno tu hamna kitu hapo, 😂😂
Mwenye kitu ni wewe?!!!! 😳🤣🤣Hodari kuzungusha maneno tu hamna kitu hapo, 😂😂
Hapana mkuu wangu umenifananisha kwani mimi ni mtu fulani CHINESE HEIGHT [emoji1787]
Peace and Love[emoji120]