MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Naomba na mimi sijaionaMm nnayo ntakupa[emoji125] [emoji125]
Mkuu hebu nitumie na mimi nimuone le mutuzNimeshakutumia kibamia changu inbox halafu hata husemi asante!![emoji32][emoji32][emoji32]
Mkuu nimemtumia Inna kibamia changu mimi na siyo cha Le Mutuz!!Mkuu hebu nitumie na mimi nimuone le mutuz
Sio kibamia ni kipilipiliHemu jamani naomba hizo picha basi au vdeo za kibamia cha le mutuzz
Hawaku address invitation vizuri wangeandika Le Mutuz Kokobanga Mobimba angeipata.
Ingekuwa noma!hhaaahaha ngashtuka aiseee
Sawa mkuu umefanya vizuriMkuu nimemtumia Inna kibamia changu mimi na siyo cha Le Mutuz!!
CCM tunakosea tunapowafanya watu wenye akili za watoto kuwa ndio wanaosifia chama. Uongozi imara ungekataa watu kama huyu Le Mutuz kusemea chama. Ili tuwe makini tunahitaji watu wenye analytical minds na walopevuka sio hawa bado wako kwenye teens ageumesahau kumalizia na Nye Nye Nye
Acha kumdharau Le mutuz kuwa yuko kwenye teens age. Huyo ni babu kwani angekuwa mtumishi wa umma alikuwa anakariba umri wa kustaafu kwa lazima.CCM tunakosea tunapowafanya watu wenye akili za watoto kuwa ndio wanaosifia chama. Uongozi imara ungekataa watu kama huyu Le Mutuz kusemea chama. Ili tuwe makini tunahitaji watu wenye analytical minds na walopevuka sio hawa bado wako kwenye teens age
Angekuwa ameshastaafu, hiki kibabu kina miaka 63 amemzidi Sadifa kwa miaka 6!Acha kumdharau Le mutuz kuwa yuko kwenye teens age. Huyo ni babu kwani angekuwa mtumishi wa umma alikuwa anakariba umri wa kustaafu kwa lazima.
Usione hicho kibamia cha kama motto wa miaka mitano ukadhani naye ana miaka mitano! mtake radhi Le mutuz
πππ
Nimemtumia baada ya kupata taarifa kuwa anapenda vibamia!!Sawa mkuu umefanya vizuri
Ntakudirect sehemu utaikutaHemu jamani naomba hizo picha basi au vdeo za kibamia cha le mutuzz
William Malecela aka le mutuz ameshindwa kutokea katika mjadala uliozungumzia hatima ya utamaduni wetu na maadili uliorushwa mubashara na luninga ya Star.
Mwendesha kipindi ndugu James amesema walimualika mzee le mutuz kutokana na uhenga na nafasi yake katika jamii lakini ameshindwa kutokea. Ameahidi kumualika tena katika siku za usoni.
Chanzo: Star tv tuongee asubuhi!
HahahahaNimemtumia baada ya kupata taarifa kuwa anapenda vibamia!!
Hahahaa...... Le kiba100s taaban!!kokobangas anaumwa yuko ananunua dawa za kusaidia stress ziondoke mana clip yake ameonekana zepumbuzz tu dhakari hamna eti ilichukuliwa na maji ya baridi bafuni
Hiyo ni luninga ya chama ikijaribu kumsafisha kada maarufu lakini ndio hivyo tena sikio la kufa.......!!!Unafiki mwingine huu.
Walikuwa wapi siku zote,
Waje wamualike sasa na wakati kama huu?
nami ni directNtakudirect sehemu utaikuta