Tutumiane hiyo video bossJana alikuwa anajitapa instg kwamba atakuw live kumbe kakimbia?????? Maaana mm huku ningekuwa naaangalia star tv na huku nacheck kale ka video
Walitaka kuonesha maana ya mtu kukosa maadili anakuwaje hivyo walitaka wawe na mfano hai.Le Mutuz Na maadili wapi Na wapi?
Ha ha ha ha sadifa!Angekuwa ameshastaafu, hiki kibabu kina miaka 63 amemzidi Sadifa kwa miaka 6!
Nitumie mkuu.Jana alikuwa anajitapa instg kwamba atakuw live kumbe kakimbia?????? Maaana mm huku ningekuwa naaangalia star tv na huku nacheck kale ka video
Ndo huyu????kokobangas anaumwa yuko ananunua dawa za kusaidia stress ziondoke mana clip yake ameonekana zepumbuzz tu dhakari hamna eti ilichukuliwa na maji ya baridi bafuni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Afadhali amekataa kwenda,hicho kipindi kilikuwa ni mtego,walitaka wakazungimzie kibamia!
hata ningekuwa mimi nisingetokeaWilliam Malecela aka le mutuz ameshindwa kutokea katika mjadala uliozungumzia hatima ya utamaduni wetu na maadili uliorushwa mubashara na luninga ya Star.
Mwendesha kipindi ndugu James amesema walimualika mzee le mutuz kutokana na uhenga na nafasi yake katika jamii lakini ameshindwa kutokea. Ameahidi kumualika tena katika siku za usoni.
Chanzo: Star tv tuongee asubuhi!
akashtukia mchezoWalitaka kuonesha maana ya mtu kukosa maadili anakuwaje hivyo walitaka wawe na mfano hai.
Mwenzake aliitwa akabanwa kwenye vyeti, huyu angebanwa kwenye KIBAMIAAfadhali amekataa kwenda,hicho kipindi kilikuwa ni mtego,walitaka wakazungimzie kibamia!
Mkuu hata ungekuwa wewe usingeenda. Ile video ilimdhalilisha mpaka mwisho! Unakumbuka alisema alitaka kujinyonga?William Malecela aka le mutuz ameshindwa kutokea katika mjadala uliozungumzia hatima ya utamaduni wetu na maadili uliorushwa mubashara na luninga ya Star.
Mwendesha kipindi ndugu James amesema walimualika mzee le mutuz kutokana na uhenga na nafasi yake katika jamii lakini ameshindwa kutokea. Ameahidi kumualika tena katika siku za usoni.
Chanzo: Star tv tuongee asubuhi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe startv siyo watu wa mchezomchezo!!Mwenzake aliitwa akabanwa kwenye vyeti, huyu angebanwa kwenye KIBAMIA
[emoji1] [emoji1] [emoji1] jamani. Si alialikwa na Star tv? Wanajua anajua maadili ni nini!Le Mutuz Na maadili wapi Na wapi?
Ee videoutampa !!?