Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ugonjwa ikojeCardiosis, cardiology issues ni hatari life span yake ni rehema zake Mungu tu
Umenikumbusha mbali mzee wa masauti .ES na Kuhani ilikuwa ni moto.Huu uzi alinzisha yeye wakati anajiita Field Marshal ES, Wazee wa sauti ya umeme. Kipindi hicho alikuwa ananza na maneno ''The Dataz ni kwamba....
Hivi "Legacy" ndio kitu gani?Hongera kwa kuishi kwake vema, ni sherehe ya pumziko la milele la mtu mwenye akili kubwa mtulivu, akili kubwa za mambo mengi, amejisimamia toka utoto mpambanaji, mtu wa Watu, asiejikweza.
Your Legacy will live forever Lemutuz [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Duh! Ndio tulipofika?Aisee,R I P ! Vip alikuwa kambi Musiba au Membe?
Ndo yeye. Alikuwa anabishana na Kuhani mpaka basi.Japo JF inakataza kureveal Identity za watu, huyu enzi zile za Jamboforums si ndo alikuwa akijitambulisha kama Field Marshall SS?
Hawa wazungu watatumaliza! Wameishatengeneza virus vingine! Wametumwagia kwenye mbegu ( Monsanto)!!Corona ipi? Long term (1980s) ama short term (late 2019-2021)
Wabebezi ndio nini?Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Yeye wanawake wazuri,malslay queens aliwaita wanebebez.Wabebezi ndio nini?
Alikua ana.........MBA dar nzima?Mzee wa downtown kitambo kazima. Kifo raha sana tujiandae na sie kufeel raha ya kifo.
Apumzike kwa amani. Leo totozi za dar zimepata msiba mzito sana
Corona gani tena boss wangu?View attachment 2621191
Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.
Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona.
..hiyo zaidi ilikuwa ni kipindi cha nyuma lakini siku za karibuni hapa alianza kutukana sana wanaomkejeli hasa akiweka post kwenye page yake insta...Hii sifa hii...Basi tu....Wengi wamejifunzia utukutu kwa huyu kiumbe ....Tukutana/ tusi/ kejeli,tena mtandaoni,utaambulia kicheko....hahaaaa! na utajibiwa kwa sitaha..