Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Fafanua mkuu.Huyo jamaa alikuwa anaiona mauti yake hasa baada ya kutoka hospital last time akaambiwa kiberiti chake kimefeli. So sad indeed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua mkuu.Huyo jamaa alikuwa anaiona mauti yake hasa baada ya kutoka hospital last time akaambiwa kiberiti chake kimefeli. So sad indeed
mtoto wa waziri mkuu mstaafu sioni cha ajabu hapapamoja na yote, jamaa ameacha legacy!! Alijitafuta akajipata akajiishi, kitu ambacho wengi wanakufa hawakifikiii na kubaki kuish kama wasindikizaji tu hapa duniani.
R.i.p Le matuz
Yote ni makelele!Kwahiyo tulie au tucheke!?
lile jambo lilikua ni kikikwazo kwake mtandaoni kila mmoja alikua akimshambulia. japo ni mtu wa kushambuliwa mtandaoni lakini kwa lile alikuwa mdogo sanaUkute ndiyo chanzo.... Stress= Heart Attack
Le mutuz is no more.Kuna Uvumi mitandaoni kwamba William Malecela hatuko naye , hatuna pa kuthibitisha maana hakuna taarifa kamili , sasa huyu jamaa ni member mwenzetu hapa JF , tunaomba yeyote anayeweza kuthibitisha hili au kukanusha atusaidie.
Naomba kuwasilisha .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Yaani hapo....Basi tu...Sijui kama kuna wengineR.I.P Le Mutuz .. alikua ananifurahisha unaweza kumuandalia lundo la matusi halafu yeye anayakusanya yote halafu anakutumia busu haha
Yaani hatarii..Wameishi ki American American so hawana roho za ki bongo bongo hao madogo....
Kuna yule wa kiume alimpa shit za uso mara
SUCK MY DICK...
kitu ambacho Mimi hata nikitofautiana na mtu yeyote siwezi mtukana ivyo sembuse mzazi wangu.....
Hii inatukumbusha kwamba Duniani tuishi kwa kupendana wote safari yetu moja.Hakuna ajuaye kesho.Ivi kwani alikuwa anaumwa ama? Mbona ghafla Sana ivo🤔🤔
Nani alikuwa na 37 yrs?sidhani kama 37 years ni umri umeenda
Upo mkuuSijui kwanini watu wanafurahia wenzao kufariki au kuua wakati safari yetu ni moja..! Huwa sielewi hiyo concept..!