TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Sijui hao wanae wanajisikiaje?
Ukipata nafasi ya kumaliza matatizo tofauti zenu baina yenu,malizeni tu.maisha ni mafupi mno
Wameishi ki American American so hawana roho za ki bongo bongo hao madogo....
Kuna yule wa kiume alimpa shit za uso mara
SUCK MY DICK...

kitu ambacho Mimi hata nikitofautiana na mtu yeyote siwezi mtukana ivyo sembuse mzazi wangu.....
 
Mtu una matatizo ya moyo umeshaponyoka mara kadhaa hospitali kwa utaalamu wa madokta.

Umri umeenda, obese; halafu ukipata nafuu kidogo unarusha picha ukishusha breakfast white bread, mayai ya kukaanga kama matatu, siagi, sausage, maharage na chai ya maziwa juu. It was coming.

R.I.P king of all of bongo social media, personal nitamiss post zake za maisha zilikuwa fikirishi sana kwangu au unapata la kujifunza hasa kuhusu tabia za watu wanaotuzunguka.

Ulale salama king of all bongo social media.
Kumbe angekuwa makini angesurvive Kwa siku mbili tatu
 
Wameishi ki American American so hawana roho za ki bongo bongo hao madogo....
Kuna yule wa kiume alimpa shit za uso mara
SUCK MY DICK...

kitu ambacho Mimi hata nikitofautiana na mtu yeyote siwezi mtukana ivyo sembuse mzazi wangu.....
Hata kama hakuwa na msaada kwenye maisha yao..
Kuna namna lazima mtaumia,mtaguswa...
Na jamaa ali-sense ziku zake zinahesabika akataka kuivuta familia katibu nae..bahati mbaya hakupata nafasi.
 
Back
Top Bottom