Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wameishi ki American American so hawana roho za ki bongo bongo hao madogo....Sijui hao wanae wanajisikiaje?
Ukipata nafasi ya kumaliza matatizo tofauti zenu baina yenu,malizeni tu.maisha ni mafupi mno
Kuna yule wa kiume alimpa shit za uso mara
SUCK MY DICK...
kitu ambacho Mimi hata nikitofautiana na mtu yeyote siwezi mtukana ivyo sembuse mzazi wangu.....