ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli kabisaSasa hiyo ndio inazuia mtu asife?
Reaction za wabongo kwenye misiba zinawezafanya mtu uangue kicheko uonekane umefurahia marehemu kufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kweli kabisaSasa hiyo ndio inazuia mtu asife?
Reaction za wabongo kwenye misiba zinawezafanya mtu uangue kicheko uonekane umefurahia marehemu kufa
Huu uzi alinzisha yeye wakati anajiita Field Marshal ES, Wazee wa sauti ya umeme. Kipindi hicho alikuwa ananza na maneno ''The Dataz ni kwamba....Duhhh..... Vifo vimetamalaki sana.
R.i.P Classmate..😥
R.i.P Menmba..😪
👍👍👍Mtu una matatizo ya moyo umeshaponyoka mara kadhaa hospitali kwa utaalamu wa madokta.
Umri umeenda, obese; halafu ukipata nafuu kidogo unarusha picha ukishusha breakfast white bread, mayai ya kukaanga kama matatu, siagi, sausage, maharage na chai ya maziwa juu. It was coming.
R.I.P king of all of bongo social media, personal nitamiss post zake za maisha zilikuwa fikirishi sana kwangu au unapata la kujifunza hasa kuhusu tabia za watu wanaotuzunguka.
Ulale salama king of all bongo social media.
Sijui kwanini watu wanafurahia wenzao kufariki au kuua wakati safari yetu ni moja..! Huwa sielewi hiyo concept..!Ee Mungu!
Apumzike kwa amani
Hizi taarifa kwa Mange ni nzuri sana
Tena alipost akiwa samaki samaki akila bata wa wabebezzz dah....Mwenye any updates kuhusu Boma yee, Nye! Nye! Nye! Nasikia is no moreView attachment 2621132
Kwani inashindikana ajikute tu yuko sehemu isiyo sahihi wakati usio sahihi?Mangekimambi msenge Sana inabidi alikiba amtombe vbaya mno maana ni crush wake jamaa kafa sijui ataongea Nini binti yule mpuuzi ambaye akulelewa vizuri
Sana❤Duh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Leo ndio nimeona picha yake,anafanana sana na Mzee Malecela..View attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msanii Steve Nyerere.
Taarifa zaidi zitakujia hivi punde.
hilo la kufurahia kifo ni mawazo yako binafsiSasa hiyo ndio inazuia mtu asife?
Reaction za wabongo kwenye misiba zinawezafanya mtu uangue kicheko uonekane umefurahia marehemu kufa
SawasawaNa sio muda mrefu umepita, yeye alikosea uombaji msamaha umekaa kisanii. Na huyo mwanae alikosea kumtukana. Nafasi yao ndio hiyo imepita
Unamwamini sana dokta wake, siyo? Kwamba yeye ni malaika wa paradise asiyeweza kuongopa? Wake up! The late BM, in all likelihood, katangulizwa.Ungemsoma Dr aliyemtibu pengine ungebadili mawazo yako
Sawasawapamoja na yote, jamaa ameacha legacy!! Alijitafuta akajipata akajiishi, kitu ambacho wengi wanakufa hawakifikiii na kubaki kuish kama wasindikizaji tu hapa duniani.
R.i.p Le matuz
sidhani kama 37 years ni umri umeendaMtu una matatizo ya moyo umeshaponyoka mara kadhaa hospitali kwa utaalamu wa madokta.
Umri umeenda, obese; halafu ukipata nafuu kidogo unarusha picha ukishusha breakfast white bread, mayai ya kukaanga kama matatu, siagi, sausage, maharage na chai ya maziwa juu. It was coming.
R.I.P king of all of bongo social media, personal nitamiss post zake za maisha zilikuwa fikirishi sana kwangu au unapata la kujifunza hasa kuhusu tabia za watu wanaotuzunguka.
Ulale salama king of all bongo social media.