TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

No way? 😆 kwamba kuna mtu ana mkataba na Mungu eti ataishi milele?
 
Upumuaji ? Mafua makali !!?

Mzee wa live straight talk , free education

Watu waliokuwa karibu nae hususani marafiki wanasema alikuwa mtu sana, humble na asiepindisha mstari !

Kwenye mitandao alionekana mjivuni, mhuni n.k

Boma yeee
Boma liwanza!
 
Upumuaji ? Mafua makali !!?

Mzee wa live straight talk , free education

Watu waliokuwa karibu nae hususani marafiki wanasema alikuwa mtu sana, humble na asiepindisha mstari !

Kwenye mitandao alionekana mjivuni, mhuni n.k

Boma yeee
Boma liwanza!
Kifupi ukiacha lifestyle yke aliyoichagua alikuwa mtu poa tu licha ya jitahada za yule Malaya kujarbu kumchafua + akili za watanzania ila historia yke imemuacha huru sna. R.i.p
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…