reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Huyu ana shida ya pressure mpk India alifika kutibiwaKamaa kakata kamba aisee nini tatizo? Boma yee kakata kamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ana shida ya pressure mpk India alifika kutibiwaKamaa kakata kamba aisee nini tatizo? Boma yee kakata kamba
Sijui vitakuja kuzikasi juzi tuh alitukanwa na mwanae
Hata ukiwa humble utakwenda tu siku yako ikifikaDuh,Apumnzike kwa amani. Huyu alikuwa anakula good time na Wabebez. Ila maisha yanazidi kunifundisha kuwa Humble.
Sio huyu. Alikuwa ni Field Marshal ES, wazee wa sauti ya umeme. Kipindi hicho anateremeka na ''dataz''Legends wa Jf tumepoteza mtu wetu was nguvu field marshall1 ...apimzike kwa amani mzee wa mbelez
No way? 😆 kwamba kuna mtu ana mkataba na Mungu eti ataishi milele?No Way, Aisee.
Daaaah
Huyu Jamaa Nlikua Namuelewa Sanaa [ Hasa Madini Yake Ya Kimaisha Na Street Intelligence ] Japo Wengine Wachache Walikua Hawamuelewi + Deep Down Alikua Ana Utu Sanaaa.
Rest in Paradise The King Of All Bongo Social Media Network With Over 30 Years In Experience At Downtown New York Mbelezzz.
What An Entertainer, Nimeumia Sana Daaah.
Hakika Maisha Ya Duniani Ni Safari Fupi Sana.
Bwana Mungu Akawe Muongozo Sahihi Kwa Watoto Wake Na Familia Kwa Ujumla. Amen [emoji1488]
Na mimi kama nawaza hivyoAu COVID-19 imerejea tena nini?????
Hzi ndio akili za watanzania kwa kiasi kikubwa kifupi wanasikitishaSasa hiyo ndio inazuia mtu asife?
Reaction za wabongo kwenye misiba zinawezafanya mtu uangue kicheko uonekane umefurahia marehemu kufa
Kwa roho ile wala hawawezi kuumia wala kua na hisia coz kwa matusi yale ni wazi kabisa hawakua na feeling kwa Baba yao.Nimewaza wale Wanawe walomtukana tuu,sijui Wana Hali Gani!
Yes akiripoti from NYC baby.Sio huyu. Alikuwa ni Field Marshal ES, wazee wa sauti ya umeme. Kipindi hicho anateremeka na ''dataz''
Kifupi ukiacha lifestyle yke aliyoichagua alikuwa mtu poa tu licha ya jitahada za yule Malaya kujarbu kumchafua + akili za watanzania ila historia yke imemuacha huru sna. R.i.pUpumuaji ? Mafua makali !!?
Mzee wa live straight talk , free education
Watu waliokuwa karibu nae hususani marafiki wanasema alikuwa mtu sana, humble na asiepindisha mstari !
Kwenye mitandao alionekana mjivuni, mhuni n.k
Boma yeee
Boma liwanza!
Sijui mwenzangu. Yaani walikuwa na ugomvi usioisha.Nimewaza wale Wanawe walomtukana tuu,sijui Wana Hali Gani!
huyo anamiaka 50+ au 60 kabisa na siyo chini ya 50 je bado ni kijana?Chini ya miaka 50 bado ni kijana inahesabika.