imbuwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 220
- 300
Limerudi kwa Kasi japo tunajifanya hatulioniKwa hiyo ndio kusema tatizo la kupumua liko real?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limerudi kwa Kasi japo tunajifanya hatulioniKwa hiyo ndio kusema tatizo la kupumua liko real?
Unajua vitu vingine mnasababisha tucheke msibaniDah le mutuz kanyoosha goti?
Corona gani hii inaua tu wanaume?!View attachment 2621191
Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.
Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona.
Huyu nae ni Nani? Alikuwa na shida gani na marehemu?Patrick Kamwele atahudhuria msiba? Ngoja tuone
Sio nje ya ndoa😀 le mubebez kazaliwa some few weeks before Tanganyika got her super independence you know, so by that time Mzee Malecele was bachelor bwoy..japo ni mtoto alimzaa nje ya ndoa.....😁😁😎😎🙌🙌
Uwe na utuAlikuwa msela mavi fulani hivi
Lakini mbona kama taarifa inafichwa fichwa...?! Kipi hakijawa tayari najaribu kuwaza...._ eti taarifa zaidi baadaye ...????? Huwa sielewi kauli za aina hii...Kwamba mchakatao wa kufariki Dunia haujakamilika???!!
Mbona kama umetamani kumsaidia kuchunga n'gombe [emoji3]
Dah, R.I.P SS Sauti ya Umeme.Ndo yeye. Alikuwa anabishana na Kuhani mpaka basi.
Mzee MaleCela amefiwa na wanae wengi , Kwa idadi ngoja ni jaribu kukumbuka, Kuna mmoja alifariki mwanzo , mwinge kwenye ajali pale karibu na St Peters Oyesterbay ( kuna kama mwingine hapo kati ila sikumbuki vizuri) , Kuna moja bint ina semakana wa nje kitu kama alijiua kwa sababu ya mapenzi naye alifariki, halafu kuna Ippy, kuna Dr Mwalle halafu ndio Le Mutuz. , ni kama watoto sita hivi wote wamefariki .Namzungumzia Mzee malecela babake lemutuz....huyu Kama sikosei wa tatu anafariki.. dadake le mutuz mwele amefariki Kama miaka miwili iliyopita
Chini ya miaka 50 bado ni kijana inahesabika.Lemutuz ni kijana?
Tulia wewe. Tunahuzunika hapa braza Lemutuz katangulia unaleta porojo.Huchelewi kusikia wamesema Our Pappa a humble man ever fight for us blaah blaa.