TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

Sidhani kama watawaza,,,,,,
Mimi kiukweli Sina excuse yoyote na baba anaekimbia watoto.sina.
Kulea watoto mwenyewe kunaleta simanzi moyo unaweza ukafa ganzi ukatamani huyo jamaa afe
Yeye alisemaga aligombanaga na mama Yao,,,ila watoto wanasema aliwaaga anaenda kusalimia bongo na hakukua na ugomvi na haluwai kurudi na wala hakuwahi kiwatafuta..
My dear baba ambaye hakuwajal tangu watoto Leo hii unafikiri watakua na uchungu?
Na SI ajabu wamekua Kwa taaabu...
Kama wewe ni mwanaume hata kama unampitia taabu vip na uliyezaa nae hakikisha upotezi mawasiliano/ukaribu na wanao hata kama huna pesa ...usije baadae ukapopup tu....kulea watoto mwenyewe ni taaabu sana
R. I. P LE BABAZ
 
Mi nilishakutana nae sana enzi za ujana....he was full of life...to be honest story yake ya watoto nimeijiua miaka ya hiv karibuni....sijui Kwa nini aliamua kuwapa mgongo....anyways...R.I.P
[emoji1] watu watammis

Ila hata yeye alipitia wakati mgumu sana kwenye maisha yake

Ova
 
Rest in peace brother [emoji22][emoji22][emoji22]
IMG_2744.jpg
 
Yule mtoto ake aliemtukana tusi kuu babae tumuone akija kumzika amtukane tena kea mara ya mwisho
nataka nione kama ex wake atawabeba watoto wake kuja kumzika baba yao, najua lazima atafanya hivyo akiamini kuwa siku mkuu wa kaya akienda zake atapatapo mafao (babu). ndio akili za wanawake. kama ameamua kuwatenga kabisa hao watoto na ukoo wa malecela ngoja tuone, na kama kweli watoto hawatakuja kumzika baba yao, ngoja dunia ishuhudie. ila ni mwanamke ambaye ni mfano mbaya kuliko wanawake wote duniani.
 
le mutuz lazima ameacha mali. nyumba kinyerezi sijui na vingine alikuwa anatamba navyo. sasa tunasubiri watoto wale waliomtukana baba yao na mama mwenye roho ya sumu aje kurithi. bahati mbaya nadhani le mutuz hakuna na wadogo zake ni kam alizaliwa peke yake, ila kama angekuwa na ndugu wengine, alitakuwa kuandika wosia mali zake ziende kwa ndugu zake. angetakiwa kuwaacha kabisa wale watoto wenye matusi waendelee kuishi kimama mama na mama yao.
 
nataka nione kama ex wake atawabeba watoto wake kuja kumzika baba yao, najua lazima atafanya hivyo akiamini kuwa siku mkuu wa kaya akienda zake atapatapo mafao (babu). ndio akili za wanawake. kama ameamua kuwatenga kabisa hao watoto na ukoo wa malecela ngoja tuone, na kama kweli watoto hawatakuja kumzika baba yao, ngoja dunia ishuhudie. ila ni mwanamke ambaye ni mfano mbaya kuliko wanawake wote duniani.
Duuh mbona mafumbo ni ishu ya nani huyo na watoto wa mpango wa kando?
 
Back
Top Bottom