masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Feelings zinajengwa love..Kwa roho ile wala hawawezi kuumia wala kua na hisia coz kwa matusi yale ni wazi kabisa hawakua na feeling kwa Baba yao.
Sio Kwa blootooth
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Feelings zinajengwa love..Kwa roho ile wala hawawezi kuumia wala kua na hisia coz kwa matusi yale ni wazi kabisa hawakua na feeling kwa Baba yao.
R. I. P LE BABAZSidhani kama watawaza,,,,,,
Mimi kiukweli Sina excuse yoyote na baba anaekimbia watoto.sina.
Kulea watoto mwenyewe kunaleta simanzi moyo unaweza ukafa ganzi ukatamani huyo jamaa afe
Yeye alisemaga aligombanaga na mama Yao,,,ila watoto wanasema aliwaaga anaenda kusalimia bongo na hakukua na ugomvi na haluwai kurudi na wala hakuwahi kiwatafuta..
My dear baba ambaye hakuwajal tangu watoto Leo hii unafikiri watakua na uchungu?
Na SI ajabu wamekua Kwa taaabu...
Kama wewe ni mwanaume hata kama unampitia taabu vip na uliyezaa nae hakikisha upotezi mawasiliano/ukaribu na wanao hata kama huna pesa ...usije baadae ukapopup tu....kulea watoto mwenyewe ni taaabu sana
Tukatae pia unafiki.Tuwe na utu
[emoji1] watu watammisMi nilishakutana nae sana enzi za ujana....he was full of life...to be honest story yake ya watoto nimeijiua miaka ya hiv karibuni....sijui Kwa nini aliamua kuwapa mgongo....anyways...R.I.P
Uliwapima au hulka tu ya kuongeaView attachment 2621191
Third wave ya corona imerudi ndio maana Mama Membe wanemzungushia uzio kumlinda na maambukizi.
Membe kachomoka na Corona,na hata Lemutuz ni corona.
Sio yeye tu mwenye access na page yakeMwenye any updates kuhusu Boma yee, Nye! Nye! Nye! Nasikia is no moreView attachment 2621132
Hadi huruma kwa huyu mzee, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]RIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini [emoji24][emoji24][emoji24]
Sema alikuwa ma shida ya pressure siyo "ana!" Maana sasa hivi ni muda uliopita ndio unamhusu!Huyu ana shida ya pressure mpk India alifika kutibiwa
Hii misemo mnaitumia vibaya,Huyo Mungu ndio aliyeumba kifo na uzima so why rehema zakeCardiosis, cardiology issues ni hatari life span yake ni rehema zake Mungu tu
nataka nione kama ex wake atawabeba watoto wake kuja kumzika baba yao, najua lazima atafanya hivyo akiamini kuwa siku mkuu wa kaya akienda zake atapatapo mafao (babu). ndio akili za wanawake. kama ameamua kuwatenga kabisa hao watoto na ukoo wa malecela ngoja tuone, na kama kweli watoto hawatakuja kumzika baba yao, ngoja dunia ishuhudie. ila ni mwanamke ambaye ni mfano mbaya kuliko wanawake wote duniani.Yule mtoto ake aliemtukana tusi kuu babae tumuone akija kumzika amtukane tena kea mara ya mwisho
Wa mlongo wangu msiba mzito huuRIP lemutuz
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Na Lile shat lake la jinsi...[emoji1] watu watammis
Ila hata yeye alipitia wakati mgumu sana kwenye maisha yake
Ova
Hasa kwa sisi wapenda udaku na umbea, pigo hili mlongo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Wa mlongo wangu msiba mzito huu
Duuh mbona mafumbo ni ishu ya nani huyo na watoto wa mpango wa kando?nataka nione kama ex wake atawabeba watoto wake kuja kumzika baba yao, najua lazima atafanya hivyo akiamini kuwa siku mkuu wa kaya akienda zake atapatapo mafao (babu). ndio akili za wanawake. kama ameamua kuwatenga kabisa hao watoto na ukoo wa malecela ngoja tuone, na kama kweli watoto hawatakuja kumzika baba yao, ngoja dunia ishuhudie. ila ni mwanamke ambaye ni mfano mbaya kuliko wanawake wote duniani.