William Malecela vs Flora Lyimo (Mbuta Nanga)

ahahahahaha! u know yani millionaire Davis Mosha awe na business partner hana akili? hii ni big joke u know?

Le baharia kimbiza mbulullazz.

- Sasa subiri the big news za kesho with Davis itakuwa ni balaaa, maana kesho ndio msema ukweli

Le Mutuz
 

Yani Wewe Ni Bure Kabisa, Fanya Uigize Porn Na Celebrity Mwenzako Ndo Utajulikana East Africa Nzima, Siunapenda Umaarufu #Idiot
 
kubali we mtu mzima na uliruka stage ndo mana uzeeni unasumbua eti unajaza page tano hahaaaa...watu tunakuchora tu we mbabu tu na umri haurudi ng'ooo..!huo umaarufu kunuka babu!

A a a a, Ili Babu Jin_@ Sana.
 

Duuuh, Umempa Yote Hayo.
 
Last edited by a moderator:
Yani Wewe Ni Bure Kabisa, Fanya Uigize Porn Na Celebrity Mwenzako Ndo Utajulikana East Africa Nzima, Siunapenda Umaarufu #Idiot

- Sure leo ndio kwanza nimetoka kwenye bodi ya leseni ya Radio kwa hiyo sasa mchezo utahamia kwenye Radio na wewe utabakia na haya mambo yako ndio maana ya akili ni nywele!!

Le Mutuz
 
....kwa kweli nimemsikiliza huyu mwenzangu na nimemuonea imani. Kama ni kweli anafanya haya mambo kwa ajiri ya rizki yake basi mwacheni jamani. Kila mtu atatoka kwa staili yake na usiogope kujaribu!Tofauti ya hapo ningesema Jamaa ana matatizo makubwa sana ya kisaikolojia kama mtoto wa kiume. Ila kwa kweli na wanaomshauri kibiashara pia waangalie kwani sio kila publicity stunt inajenga,zingine zinabobomoa,waulize marketing managers wanalijua hilo!Angalia Suarez masponsor wake wanavyovunja mikataba sasa!!Negative publicity can kill a business,ni ushauri tu lakini!!!
 
Tangu nijiunge JF sijawahi kucheka kwenye thread kama leo! BONGE NYANYA YOU MADE MY DAY!
 

Dah kama hapo ni kwa mama yako kweli,Bora ungezaliwa Kuku tu.Pole kwa waliokuzaa aisee..uneshindwa kumnunilia hata kitenge kizuri Mama yako..
 
Wanajuana hawa..mpyuuuuu le mutuz.me ananikera na litumbo lake kama matitiki maji dazan kumi..nan atampa ubunge kwa tabia yake ya kutiana vidole hiii.mpyuuuu
 
Nadhani kuna ishu ya kuchukuliana mabwana hapa. Acha movie liendelee.
Ova.
 
These two need to get married, wawazae upya wema na diamond tujue moja....u know!
 
huyu le mutuz naye apunguze mbwembwe, yani yeye akiamka badala ya kuvaa pajama au taulo anavaa suti kabla hajaoga wala kunawa uso? makubwa haya.
Lol!,I can't stop laughing....kwani analala mtupu?!, sasa in case of fire Le mutuz akatoka mbio mtupu si watu watakimbilia kwenye moto kwa kumkimbia yeye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…