Ameingia kwenye urembo tayari...?? teh teh ...
Anaongea kupitia clouds fm radio kwamba yeye ndo anaanda mashindano ya miss Ilala! Kumbe ndo maana huwa simwelewi... Kumbe yupo kwenye mambo haya!
Ameingia kwenye urembo tayari...?? teh teh ...
Alikuwa "mrembo" siku nyingi......mpaka KALIKITI alikuwa anapaka kwenye nywele!
Alimkashfu Shehk Ponda kwa maneno ya kejeli na matusi, tukilinaganisha anachopigania Shehk Ponda kuhusu uislam na hiki anachokishabikia huyu jamaa ni nani hasa aliye mpuuzi na mwaribifu wa Mila na Desturi zetu, kama ni muandaaji ni vizuri akachukua na watoto wake au wajukuu zake wakaonyesha vichupi mbele yake.
Anaongea kupitia clouds fm radio kwamba yeye ndo anaanda mashindano ya miss Ilala! Kumbe ndo maana huwa simwelewi... Kumbe yupo kwenye mambo haya!
Alimkashfu Shehk Ponda kwa maneno ya kejeli na matusi, tukilinaganisha anachopigania Shehk Ponda kuhusu uislam na hiki anachokishabikia huyu jamaa ni nani hasa aliye mpuuzi na mwaribifu wa Mila na Desturi zetu, kama ni muandaaji ni vizuri akachukua na watoto wake au wajukuu zake wakaonyesha vichupi mbele yake.