William Miller: Kama Yesu hakujua Hisabati au kutafsiri mambo bora angalikaa Kimya. Mbona siku ya mwisho wa dunia inakokotoleka kirahisi?

Ufafanuzi mzuri
 
Wapo wanaojua bwana. Kuna watu wanatumia brains zao vizuri. We endelea kulala tu ukiwela mikono chini ya kitovu na kuamka asubuhi mbele pamevimba
Brains za kukokotoa siri za Mungu?!! You must be kidding au hujui maana ya Mungu! Yaani kaubongo kako binadamu hakafikii hata 0.00000000000001 ya ufahamu wa Mungu, leo ndio ujidai unaweza kukotoa alichoficha Mungu? Mjikweze kwa mengine sio kwa issues related to the Almighty God aisee...,!
 
Umesoma au umesomewa?
 
Asante
Lakini naona Kuna mahali hapako sawa
Labda kufafanuliwa/kufafanuliana vizuri zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…