Uchaguzi 2020 William Ngeleja: Hamis Tabasamu aligawa rushwa ya Tsh. 100,000 kwa wajumbe ili achaguliwe

Uchaguzi 2020 William Ngeleja: Hamis Tabasamu aligawa rushwa ya Tsh. 100,000 kwa wajumbe ili achaguliwe

Kuna barua inazunguka inayoonesha kuwa ni ya William Ngeleja aliyekuwa mbunge wa Sengerema akilalamikia zoezi la kura za maoni jimbo la Sengerema.

Katika barua hiyo Ngeleja analalamika kuwa mgombea na mfanyabiashara Hamis Tabasamu aliyeshika namba moja kwenye mchakato huo wa kura za maoni aligawa rushwa ya laki moja moja kwa wajumbe ili achaguliwe kwenye mchakato huo.

Kama hiyo barua ni ya kweli basi CCM inanuka kwa rushwa.
Ngeleja ndiyo aligawa Rushwa lakini wajumbe wakala wakamtosa kaamua kusambaza barua ya uongo fitna kumchafua ili wakose wote kuna ujinga utafanyika kuwakomoa wengi majina yasirejee toka Dodoma
 
Ngeleja atulie.....hata kama kazidiwa kete......pia itategemea baba kaamkaje.....yeye na Tabasamu wanaweza pia wasipite.....
Kwanza hachoki......?.....apishe na wengine waongoze bana......
 
Ngeleja atulie.....hata kama kazidiwa kete......pia itategemea baba kaamkaje.....yeye na Tabasamu wanaweza pia wasipite.....
Kwanza hachoki......?.....apishe na wengine waongoze bana......
Ngeleja ni wivu umemzidi kaamua kumharibia Tabasamu kwa makusudi
 
Tabasamu alitoa laki kwa kila mjumbe, Ngeleja akatoa elfu 30 kwa kila mjumbe. Wajumbe wakaona hizi ni dharau yaani rushwa ya elfu 30 iliyokuwa inatumika 2015 bado unataka kuitumia 2020, wakapiga chini Ngeleja.

Ngeleja atafute kazi nyingine, uzuri bosi wake Rostam Aziz amerudi kwenye system.
Watia nia wote huko kwa ngeleja walitoa Rushwa ingawa zilitofautiana kama vipi wafutwe wote uchaguzi urudiwe upya
 
Kuna barua inazunguka inayoonesha kuwa ni ya William Ngeleja aliyekuwa mbunge wa Sengerema akilalamikia zoezi la kura za maoni jimbo la Sengerema.

Katika barua hiyo Ngeleja analalamika kuwa mgombea na mfanyabiashara Hamis Tabasamu aliyeshika namba moja kwenye mchakato huo wa kura za maoni aligawa rushwa ya laki moja moja kwa wajumbe ili achaguliwe kwenye mchakato huo.

Kama hiyo barua ni ya kweli basi CCM inanuka kwa rushwa.

Ninachojua ukimjua fulani ni Mchawi basi kuna Uwezekano Wewe ndiyo ukawa Mchawi Mbobezi na Uliyetukuka. Ngeleja asitufanye Watu Mazuzu!!!
 
Kuna barua inazunguka inayoonesha kuwa ni ya William Ngeleja aliyekuwa mbunge wa Sengerema akilalamikia zoezi la kura za maoni jimbo la Sengerema.

Katika barua hiyo Ngeleja analalamika kuwa mgombea na mfanyabiashara Hamis Tabasamu aliyeshika namba moja kwenye mchakato huo wa kura za maoni aligawa rushwa ya laki moja moja kwa wajumbe ili achaguliwe kwenye mchakato huo.

Kama hiyo barua ni ya kweli basi CCM inanuka kwa rushwa.
NINI TABASAMU HATA ANGEKUJA UCHUNGU TUNHEMPAAA SIO NGELEJAA KHA AJASHIBAA
 
KUNA VID IMESAMBAAA ...HIOO ATAIJIBU NGELEJA KIKAONI
Ninachojua ukimjua fulani ni Mchawi basi kuna Uwezekano Wewe ndiyo ukawa Mchawi Mbobezi na Uliyetukuka. Ngeleja asitufanye Watu Mazuzu!!!
NA ZILE HELA WALIZO..NTAMALIZIA TAR 9
 
Ngeleja ndiyo aligawa Rushwa lakini wajumbe wakala wakamtosa kaamua kusambaza barua ya uongo fitna kumchafua ili wakose wote kuna ujinga utafanyika kuwakomoa wengi majina yasirejee toka Dodoma
Kama wote walitoa rushwa uongo uko wapi??
 
Back
Top Bottom