sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Ningekuwa Magu natupilia mbali hizo kura za maoni bali naangalia CV ya mtu.Ngeleja atulie.....hata kama kazidiwa kete......pia itategemea baba kaamkaje.....yeye na Tabasamu wanaweza pia wasipite.....
Kwanza hachoki......?.....apishe na wengine waongoze bana......