Uchaguzi 2020 William Ngeleja: Hamis Tabasamu aligawa rushwa ya Tsh. 100,000 kwa wajumbe ili achaguliwe

Ngeleja atulie.....hata kama kazidiwa kete......pia itategemea baba kaamkaje.....yeye na Tabasamu wanaweza pia wasipite.....
Kwanza hachoki......?.....apishe na wengine waongoze bana......
Ningekuwa Magu natupilia mbali hizo kura za maoni bali naangalia CV ya mtu.
 
Nitajie asiye fisadi ccm.
 
Hata hivyo Ngeleja hawaelewani na mkubwa wa kaya maana mbili 15 alikuwa team Ma'nvi sasa mkulu hapendi dharau na pale
Sengerema si ana watu wake...
 
Kwelj shetanj akizeeka anakuwa malaika. Leo Ngeleja nae analalamikia rushwa😀😀
 
Si angepeleka tuhuma takukuru mapema? Anasubiri abwagwe ndio apeleke?
 
Ngeleja na ww bana hebu acha kulialia...zile za mgawo wa mboga ww ushaziswallow zote?? Sasa si unatoa na ww kidogo kwa wajumbe!!
 
Huyu anajisahau wakati ule alipokea pesa ya Rugemalila kiliposanuka akakimbiliaa kuirudisha leo anajifanya anachukia rushwa
 
Hata ngeleja huenda alitoa rushwa , sema yeye hakuweka package nzuri
 
ulitakiwa ujihakikishie kama ni kweli ama lah ndo uje kupost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…