Ningekuwa Magu natupilia mbali hizo kura za maoni bali naangalia CV ya mtu.Ngeleja atulie.....hata kama kazidiwa kete......pia itategemea baba kaamkaje.....yeye na Tabasamu wanaweza pia wasipite.....
Kwanza hachoki......?.....apishe na wengine waongoze bana......
KWA MWAKA HUU ASILIMIA 75 YA WALIOONGOZA KURA ZA MAONI CCM KWANZIA NGAZI YA UDIWANI NA UBUNGE WALITOA RUSHWA SEMA VIWANGO VINATOFAUTIANA
Nitajie asiye fisadi ccm.Mh. Ngeleja anaanza kutapata kwani anajua kwa CCM hii hana chake. Hata angepata kura nyingi (kwani kwenye kura za maoni, kimsingi hakuna mshindi bali mwenye kura nyingi, huu ni mwanzo tu wa mchakato mrefu) kuliko watia nia wengine, jina lake halirudi this time, CCM imechoka kulea uozo, mafisadi na watoa/wala rushwa.
Shell zake zitakuwa zinaitwa Total au Puma.Duh! Sheli zake zinaitwaje? Je anazo biashara nyingine au ni sheli pekee?
Hata ngeleja huenda alitoa rushwa , sema yeye hakuweka package nzuriKuna barua inazunguka inayoonesha kuwa ni ya William Ngeleja aliyekuwa mbunge wa Sengerema akilalamikia zoezi la kura za maoni jimbo la Sengerema.
Katika barua hiyo Ngeleja analalamika kuwa mgombea na mfanyabiashara Hamis Tabasamu aliyeshika namba moja kwenye mchakato huo wa kura za maoni aligawa rushwa ya laki moja moja kwa wajumbe ili achaguliwe kwenye mchakato huo.
Kama hiyo barua ni ya kweli basi CCM inanuka kwa rushwa.
ulitakiwa ujihakikishie kama ni kweli ama lah ndo uje kupostKuna barua inazunguka inayoonesha kuwa ni ya William Ngeleja aliyekuwa mbunge wa Sengerema akilalamikia zoezi la kura za maoni jimbo la Sengerema.
Katika barua hiyo Ngeleja analalamika kuwa mgombea na mfanyabiashara Hamis Tabasamu aliyeshika namba moja kwenye mchakato huo wa kura za maoni aligawa rushwa ya laki moja moja kwa wajumbe ili achaguliwe kwenye mchakato huo.
Kama hiyo barua ni ya kweli basi CCM inanuka kwa rushwa.