William Ruto aahidi utawala wake kutoingilia mawasiliano ya watu

William Ruto aahidi utawala wake kutoingilia mawasiliano ya watu

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Ruto amewahakikishia wananchi kuwa atakapopewa Mamlaka kamili ya utawala, watu watakua huru kuwasiliana bila hofu ya kuingiliwa faragha zao na mamlaka.

Akionekana kugusia ujasusi unaofanywa na mamlaka, Rais Mteule ameahidi kuirudisha nchi hiyo kwenye misingi ya Demokrasia na kwamba mtu yeyote anaweza kuzungumza chochote kwa mtu yeyote.

"Sasa unaweza kurejea kutumia simu yako, sio lazima utumie WhatsApp, sio lazima utumie Signal,"

===================

President-elect William Ruto has moved to reassure Kenyans of their freedoms when using telecommunications devices once he takes charge.

Seemingly alluding to spying by authorities, he promised Kenyans that his administration will not pry into their private communications.

"You can now go back to using your phone...you don't have to use WhatsApp, you don't have to use Signal," he said, referring to the popular messaging apps.

"I want to promise the people of Kenya that we are getting our democratic country back. Anyone can speak about anything to any person they want," he added.

Signal, an encrypted messaging app, allows you to send text, video and photos discreetly. It is widely considered a favourite for government officials and cyber experts who are worried about security of their communications.

Signal and WhatsApp use end-to-end encryption, which means that messages are encrypted in the app before being sent via your phone's mobile network and the internet.

Source: Nation
 
Back
Top Bottom