William Ruto anapitia kipindi kigumu sana

William Ruto anapitia kipindi kigumu sana

Shida ya Ruto ana taka kula peke yake. Wakati awamu zote hula na Raila. Hata wakati wa Mwai Kibaki , Ruto akiwa timu moja na Raila wali kula wote. Hivyo hivyo kwa awamu ya Uhuru. Ila zamu yake, yeye anataka ale mkate wote peke yake. Ngoja akione cha moto na Uroho wake.
Si katiba hairuhusu kwasasa?
 
Ligi yann Sasa mkuu

ubungo KAZI yake nn,mpunguzieni mungu majukumu
Ukishakuwa na akili hata kabla hamjaanza kubishana unajua mwisho wa majibizano unaenda kuwaje. Kiutu uzima unajinyamazia maana unapoteza muda.
 
Ni ka mwaka tu kamekata.....huwezi ukategemea uchumi wa nchi ujengwe kwa miezi 10.

Dunia inapitia changamoto hii kwasasa.....Aliahidi ahadi ambazo kila mwanasiasa anaweza kuahidi.
Wakati anaahidi hakujua dunia Ina changamoto??


Pili, Hustlers tu ndio wanatakiwa kuvumilia, lakini watu wake wale bata Kama kawaida.


Wanasiasa wake wote walioshindwa uchaguzi, alizoa wote akawapa nafasinza CAS Kama huku kwetu ni Manaibu Katibu Mkuu Wizara.


Sera yake ilikuwa ni BOttom up economy.

Lakini utekelezaji wa hiyo sera inaonesha haitekelezeki.
 
Vipi huku kwetu lile sakata linefikia wapi
 
Hivi na wanamuunga mkono kiongozi nao si wanaweza kuandamana kuwapinga wasiomuunga mkono?
Tatizo lao wote ni walafi na mzee huyo ana nuksi na atakufa bado anaukimbiza urais

Hapo na wanaomuunga mkono Ruto wakiliamsha itakuwa vita ya wao kwa wao

Ila wakenya wanajifanya wajuaji sana
 
Si katiba hairuhusu kwasasa?
Mbona yule sijui Cabinet Minister. Cheo kile mbona hakipo mwenye katiba ila Rais amemteua baada ya kuunda Umoja wa Kenya kwanza.
Jina nime msahau. Yule Bonge mweusi mwenye mashavu hivi.
 
Tatizo lao wote ni walafi na mzee huyo ana nuksi na atakufa bado anaukimbiza urais

Hapo na wanaomuunga mkono Ruto wakiliamsha itakuwa vita ya wao kwa wao

Ila wakenya wanajifanya wajuaji sana
Kwa ujuaji hawajambo......Nakuhakikishia haya maandamano siyo kwasababu ya maisha. Ni purukushani za ulaji tu.
 
Wakwetu huku anazunguka tu mpaka sasa hajatia neno kuhusiana na mkataba kama kiongozi wa nchi
 
Mbona yule sijui Cabinet Minister. Cheo kile mbona hakipo mwenye katiba ila Rais amemteua baada ya kuunda Umoja wa Kenya kwanza.
Jina nime msahau. Yule Bonge mweusi mwenye mashavu hivi.
Mudavadi
 
Wakenya wengi wamekata tamaa ya kupambana katika maisha ivo wanaendeshwa na mihemko katka mambo ya msingi
 
Yeah. Cheo chake hakipo ki katiba. Hivyo hata Raila angemfanyia uteuzi. Na ku mix team yake Bungeni. Coz tofauti ya kura zao ni ndogo.
Nimemskia mara nyingi anasema hakuna kitu kama serikali ya mseto. Handshakes ndiyo ilichelewesha kila kitu.
 
Nadhani anaenda kuwa rais wa Kenya aliyepitia kipindi kigumu saana. Kwanza amechukua nchi kipindi ambacho Dunia nzima inapitia changamoto ya mfumuko wa bei.

Lingine, Raila alishajua anaenda kushinda...Mara vuuupu akaukosa urais. Hasira aliyonayo haielezeki.

Deni nalo linamwandama. Inabidi acheze karata zake vizuri la sivyo nchi inatapakaa.

Tusubiri maandamano ya week inayokuja maana mmoja kajizatiti hakuna maandamano mwingine kashikilia lazima waandamane.



Jamaa avae roho ya Magufuli, Raila hana utu
 
Nadhani anaenda kuwa rais wa Kenya aliyepitia kipindi kigumu saana. Kwanza amechukua nchi kipindi ambacho Dunia nzima inapitia changamoto ya mfumuko wa bei.

Lingine, Raila alishajua anaenda kushinda...Mara vuuupu akaukosa urais. Hasira aliyonayo haielezeki.

Deni nalo linamwandama. Inabidi acheze karata zake vizuri la sivyo nchi inatapakaa.

Tusubiri maandamano ya week inayokuja maana mmoja kajizatiti hakuna maandamano mwingine kashikilia lazima waandamane.
Ktk watu nimewadharau ni wakenya, upumbavu ule usije kwetu. Kwanini hawajifunzi kutoka nchi zilizoendelea uchaguzi ukiisha ni kufanya kazi. Raila alienda mpaka mahakamani bado haridhiki, yule ana roho ya uchawi anafurahi wenzake wanakufa kwa tamaa zake. Raila ni Shetani mkubwa, Ruto uwe imara
 
Back
Top Bottom