William Ruto anapitia kipindi kigumu sana

William Ruto anapitia kipindi kigumu sana

Ktk watu nimewadharau ni wakenya, upumbavu ule usije kwetu. Kwanini hawajifunzi kutoka nchi zilizoendelea uchaguzi ukiisha ni kufanya kazi. Raila alienda mpaka mahakamani bado haridhiki, yule ana roho ya uchawi anafurahi wenzake wanakufa kwa tamaa zake. Raila ni Shetani mkubwa, Ruto uwe imara
Hujui Kenya ni ukabila umeshika hatamu
✍️
 
Uahi
Nadhani anaenda kuwa rais wa Kenya aliyepitia kipindi kigumu saana. Kwanza amechukua nchi kipindi ambacho Dunia nzima inapitia changamoto ya mfumuko wa bei.

Lingine, Raila alishajua anaenda kushinda...Mara vuuupu akaukosa urais. Hasira aliyonayo haielezeki.

Deni nalo linamwandama. Inabidi acheze karata zake vizuri la sivyo nchi inatapakaa.

Tusubiri maandamano ya week inayokuja maana mmoja kajizatiti hakuna maandamano mwingine kashikilia lazima waandamane.
Ushindi wa Magumashi ataendesha kwa tabu sana kama jpm
 
Nadhani anaenda kuwa rais wa Kenya aliyepitia kipindi kigumu saana. Kwanza amechukua nchi kipindi ambacho Dunia nzima inapitia changamoto ya mfumuko wa bei.

Lingine, Raila alishajua anaenda kushinda...Mara vuuupu akaukosa urais. Hasira aliyonayo haielezeki.

Deni nalo linamwandama. Inabidi acheze karata zake vizuri la sivyo nchi inatapakaa.

Tusubiri maandamano ya week inayokuja maana mmoja kajizatiti hakuna maandamano mwingine kashikilia lazima waandamane.
Raila anataka 'new hand shake'.....anawatumia tu vijana kufikia malengo yake alambe asali.
 
Shida ya Ruto ana taka kula peke yake. Wakati awamu zote hula na Raila. Hata wakati wa Mwai Kibaki , Ruto akiwa timu moja na Raila wali kula wote. Hivyo hivyo kwa awamu ya Uhuru. Ila zamu yake, yeye anataka ale mkate wote peke yake. Ngoja akione cha moto na Uroho wake.
Mambo ya kula sijui nini ni ujinga ndio maana Africa inabaki kuwa maskini kula kale kwako sisi tunataka Kazi na maendeleo eti kula sijui vitu gani ujinga mtupu
 
Mambo ya kula sijui nini ni ujinga ndio maana Africa inabaki kuwa maskini kula kale kwako sisi tunataka Kazi na maendeleo eti kula sijui vitu gani ujinga mtupu
Ww unadhani utakula bila kuliwa
 
Ktk watu nimewadharau ni wakenya, upumbavu ule usije kwetu. Kwanini hawajifunzi kutoka nchi zilizoendelea uchaguzi ukiisha ni kufanya kazi. Raila alienda mpaka mahakamani bado haridhiki, yule ana roho ya uchawi anafurahi wenzake wanakufa kwa tamaa zake. Raila ni Shetani mkubwa, Ruto uwe imara
Eti kufanya kazi? Trump ameanza kampeini 2021 ficha ujinga, uchaguzi US ni 2024 ila Trump ali announce kugombea uraisi 2022
 
Shetani mamako na ukoo lako lote,kalb hayawan wewe.
Tena ukajikite kwenye ushuzi wenyu wa kijamaa hapo matopeni,kelbu iblis,sharmuta weye.

Ktk watu nimewadharau ni wakenya, upumbavu ule usije kwetu. Kwanini hawajifunzi kutoka nchi zilizoendelea uchaguzi ukiisha ni kufanya kazi. Raila alienda mpaka mahakamani bado haridhiki, yule ana roho ya uchawi anafurahi wenzake wanakufa kwa tamaa zake. Raila ni Shetani mkubwa, Ruto uwe imara
 
Shida ya Ruto ana taka kula peke yake. Wakati awamu zote hula na Raila. Hata wakati wa Mwai Kibaki , Ruto akiwa timu moja na Raila wali kula wote. Hivyo hivyo kwa awamu ya Uhuru. Ila zamu yake, yeye anataka ale mkate wote peke yake. Ngoja akione cha moto na Uroho wake.
Simkubali Ruto ila kwa hilo yuko sahihi yeye ndiye aliyeshinda na hajakiuka katiba kutounda seriali na Raila.
Kinachomtesa ni kwamba aliahidi vitu havitekelezeki ili awe rais wakati ni ngumu kutekeleza.
 
Back
Top Bottom