William Ruto has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars because soon the Dollar will be worthless

William Ruto has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars because soon the Dollar will be worthless

Correct brother,we had many empires before us,but they are no more.We have reached the end of the American Empire,it too will go.Infact it has all the characteristics of an Empire in decline.
Wewe una chuki binafsi sababu hauna dollar kama sisi au umepumbazwa na udini wa mashariki ya kati.
 
You are burrying your head in the sand,the facts on the ground tells it all.

Lakini mbona mnaitetea sana US,tena such an evil empire.Lazima mtakuwa na an unhealthy relationship nayo.Au wewe ni sehemu ya wale wa Mwakyembe!?
Sasa mkuu ulitaka tuitetee Iran au Urusi??????Ndugu zetu wote wapo USA,na hela zetu tunapiga kutokea USA wewe ulitaka tuitetee Irana au Urusi wakati hatuna michongo huko.MKONO MTUPU HAULAMBWI MKUU😂😂😂
 
Sasa mkuu ulitaka tuitetee Iran au Urusi??????Ndugu zetu wote wapo USA,na hela zetu tunapiga kutokea USA wewe ulitaka tuitetee Irana au Urusi wakati hatuna michongo huko.MKONO MTUPU HAULAMBWI MKUU😂😂😂
Unapiga hela kutoka US,how.The Mwakyembe style👇?Hela chafu kabisa.Ila hata kama unapiga hiyo hela haramu kutoka US,ni lazima ukubali facts on the ground,because that is soon coming to an end,so you are obliged to make alternative plans.
 

Attachments

  • VID-20230328-WA0000.mp4
    12.9 MB
  • VID-20230328-WA0001.mp4
    10.5 MB
You are burrying your head in the sand,the facts on the ground tells it all.

Lakini mbona mnaitetea sana US,tena such an evil empire.Lazima mtakuwa na an unhealthy relationship nayo.Au wewe ni sehemu ya wale wa Mwakyembe!?
Wewe hauna hela,especially dollar na umepumbazwa na story za kwenye miadhara ya kidini ambapo mtu asipokuwa na imani yenu basi ni evil,s kwa mtazamo wenu wa chuki na udinikutoka mashariki.Hivi ushawahi kumiliki dollar wewe?????Mpaka utuambie dollar zetu tuachane nazo wakati Ruto dollar zake kaficha Geneva.
 
Unapiga hela kutoka US,how.The Mwakyembe style?
Tatizo mkuu nadhani wewe fukara kichwani na hauna hela na haujui biashara bali unajua majungu na ubaguzi wa kidini wa kimashariki umekukaa na elimu yako ukizidi sana umeishia degree.Yaani sisi unataka utushauri kuhusu dollar wakati wewe hata hapo ulipo dola elfu tano huna na huyo Ruto dollar zake kaficha Geneva.Ingia ule uzi wa dissapora wa mwanangu@Bufa.Utaona jinsi gani sisi tunanufaika kibiashara na USA.Story hizo peaneni makapuku ambao amna michongo ya kupiga hela kimataifa.
 
Unapiga hela kutoka US,how.The Mwakyembe style👇?Hela chafu kabisa.Ila hata kama unapiga hiyo hela haramu kutoka US,ni lazima ukubali facts on the ground,because that is soon coming to an end,so you are obliged to make alternative plans.
Utakufa wewe marekani utaiacha.Afu mkuu una roho mbaya inaonyesha hata madogo wanaopambana kuingia NBA kutokea bongo wewe ungewakatisha tamaa kwa chuki zako za kimashariki.Mkuu wewe umezaliwa tehran nn👀👀👀
 
Tatizo mkuu nadhani wewe fukara kichwani na hauna hela na haujui biashara bali unajua majungu na ubaguzi wa kidini wa kimashariki umekukaa na elimu yako ukizidi sana umeishia degree.Yaani sisi unataka utushauri kuhusu dollar wakati wewe hata hapo ulipo dola elfu tano huna na huyo Ruto dollar zake kaficha Geneva.Ingia ule uzi wa dissapora wa mwanangu@Bufa.Utaona jinsi gani sisi tunanufaika kibiashara na USA.Story hizo peaneni makapuku ambao amna michongo ya kupiga hela kimataifa.
This is an illusion.Grasp the facts and act fast.Huu ni ushauri wa bure,Fiat currency sio medium of exchange,it is rubbish.Inflation bubble ukisha burst,it is over.Wekeza in real assets,hiyo ndiyo akili.
 
Unapiga hela kutoka US,how.The Mwakyembe style👇?Hela chafu kabisa.Ila hata kama unapiga hiyo hela haramu kutoka US,ni lazima ukubali facts on the ground,because that is soon coming to an end,so you are obliged to make alternative plans.
Mkuu njaa na ukichanganya udini 🤣🤣🤣😂😂😂😂Utadata.Evil ni wewe mwenye kurithi ubaguzi wa mashariki.Hujawahi kushika dollar afu unatushauri kuhusu dollar??????Upo seriously kweli na maisha wewe
 
Utakufa wewe marekani utaiacha.Afu mkuu una roho mbaya inaonyesha hata madogo wanaopambana kuingia NBA kutokea bongo wewe ungewakatisha tamaa kwa chuki zako za kimashariki.Mkuu wewe umezaliwa tehran nn👀👀👀
Duh,an American Zombie indeed,kwaheri.Unaitetea Marekani kama baba yako mkuu,ajabu sana.There is surely an unhealthy relationship.
 
This is an illusion.Grasp the facts and act fast.Huu ni ushauri wa bure,Fiat currency sio medium of exchange,it is rubbish.Inflation bubble ukisha burst,it is over.Wekeza in real assets,hiyo ndiyo akili.
Huna hela mkuu🤣🤣🤣🤣wewe udini wa mashariki ya kati umekujaa na chuki binafsi dhidi ya wamagharibi na wewe ndio evil kutushauri uongo hapa JF.
 
Mkuu njaa na ukichanganya udini 🤣🤣🤣😂😂😂😂Utadata.Evil ni wewe mwenye kurithi ubaguzi wa mashariki.Hujawahi kushika dollar afu unatushauri kuhusu dollar??????Upo seriously kweli na maisha wewe
Ubaguzi wangu uko wapi hapo,kusema ukweli na kukushauri,tena vizuri.Intelligent people all over the World sees it thanks t way,Sasa wewe unachokataa ni nini.Kwani BRICS imeundwa kwa sababu gani,si sababu hizo hizo,wake up,times have changed,the US$ is no more.
 
Unapiga hela kutoka US,how.The Mwakyembe style👇?Hela chafu kabisa.Ila hata kama unapiga hiyo hela haramu kutoka US,ni lazima ukubali facts on the ground,because that is soon coming to an end,so you are obliged to make alternative plans.
Mwakyembe is petty politician,used petty issue to get popularity for his own ajenda.Mbona vitu vya msingi kama uchumi au ukosefu wa ajira au katiba mpya havizungumzii
 
Ubaguzi wangu uko wapi hapo,kusema ukweli na kukushauri,tena vizuri.Intelligent people all over the World sees it thanks t way,Sasa wewe unachokataa ni nini.Kwani BRICS imeundwa kwa sababu gani,si sababu hizo hizo,wake up,times have changed,the US$ is no more.
Wewe hujawahi kushika dollar na hauna hela inaonyesha bado upo chuo.Au kiwango chako cha elimu umeishia degree.Unajua maana ya neno Evil wewe????
 
Mwakyembe is petty politician,used petty issue to get popularity for his own ajenda.Mbona vitu vya msingi kama uchumi au ukosefu wa ajira au katiba mpya havizungumzii
Unajua Sodoma MUNGU aliiangamiza kwa sababu gani,Sodomy.So that is key.Sodomy inaleta laana kwa Taifa,so it is urgent and must be adressed quickly.
 
Mkuu njaa na ukichanganya udini 🤣🤣🤣😂😂😂😂Utadata.Evil ni wewe mwenye kurithi ubaguzi wa mashariki.Hujawahi kushika dollar afu unatushauri kuhusu dollar??????Upo seriously kweli na maisha wewe
Ungejua mimi sina njaa na I am above religion.Halafuu,usingekuwa na njaa ungekuwa karai la zege la Marekani,tena katika uovu?You don't know what you are talking about.
 
Go back and read my comment again usikurupuke. 'Ruto knows something you dont' ooooh Man, is Ruto not a politician? [emoji23]

Any way you know nothing of what is going on.
Continue burrying you head in the sand.Anyway fuata link ifuatayo labda akili yako itafunguka.

 
View attachment 2566395
If you have been following World affairs closely, you probably already know what is ahead of humanity.With that in mind,President of Kenya has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars, because soon the dollar will be worthless (Operation Sandman?).This is free advice to you also.

=========

25 MARCH 2023
The President of Kenya today announced to all citizens they should get rid of any U.S. Dollars they may be holding because they will become worth less within weeks.

William Kipchirchir Samoei Arap Ruto, Ph.D, CGH; is a Kenyan politician who is serving as the fifth and current president of Kenya since 13 September 2022.

Prior to becoming president, he served as the first deputy president of Kenya from 2013 to 2022.

Today, in a nationally televised speech in Kenya, Ruto said “Those of you who are holding dollars, you shortly might go into losses. So you better do what you have to do because this market will be different in a couple of weeks.”
Here is actual video so you can hear him say it for yourselves:

This stunning announcement gives credibility to a RUMOR that has been circulating for over a year, that 142 countries around the world have secretly agreed to what they call "Operation Sandman."

According to the RUMOR, Operation Sandman will "put the US Dollar to sleep" by having all 142 countries repudiate the currency on the same day, and refuse to continue accepting it for payment in Trade.

Countries around the world began planning this when they witnessed the then-Democrat-Controlled US Congress, go on a spending spree of several TRILLION Dollars in Omnibus Bills. Those countries realized there is nothing backing the value of US Dollars and they saw that the US Congress has no plans at all to reign-in spending.

One country's Finance Ministry recently told the US, "We are no longer willing to accept ones and zeros in a bank computer as actual payment for real goods."

The countries agreed that holding US currency was becoming foolish because it was becoming worthless on its face, thanks to all the rampant over-spending by the US Government.
Now, it appears those countries may actually take action "within a couple weeks."

If countries around the world repudiate the Dollar as payment for goods in trade, then they would halt providing manufactured goods or raw materials unless paid in some currency OTHER THAN DOLLARS.

Since the U.S. barely does any manufacturing at all anymore, thanks to the business nitwits who thought it was a good idea to convert the US economy to a "service economy" then products we buy in stores will simply run out and we will be unable to re-stock because no one will want our money.

Among the business nitwits are also those who pushed for "Free Trade" claiming it would improve sales of American-made goods overseas if America agreed to halt Tariffs on all imported items.

The government bought-into the idea, not realizing - or not caring - that these very businessmen weren't at all interested in selling more American goods overseas. What they were interested in was shipping American JOBS overseas, taking advantage of cheap labor, then shipping those exact same products back to the USA to sell at the same high prices . . . . while pocketing the profit from the new, foreign, cheap labor without having to pay Tariiffs.

The Businessmen, their corporate Boards of Directors, and Commerce Organizations who touted "Free Trade" were the ones who moved American jobs overseas and now, the country barely manufactures anything, anymore.

So here we are, years later, and thanks to those businessmen, and the federal politicians who foolishly believed their lies about "Free Trade," we have almost no manufacturing. Countries around the world seem to be actually planning to stop accepting the US dollar as payment, so we won't be able to buy anything because it's all made overseas now!

Retaliation against the people who did this should be swift and ferocious when Americans can no longer buy even life's basics because corporate titans and certain others stripped our country of manufacturing.

PREPARE NOW!
To understand the thinking of Rutos' stance please follow the following links.
UBABE WA MAREKANI KIUCHUMI DUNIANI

Tuko nyuma sana kiuchumi, kisiasa na kimaendeleo, twajadili kinadharia kuliko hali halisi ilivyo. Tunapiga kelele sana, wakati huo wamarekani wapo kimya na kutumia akili na teknklojia.

Uwekezaji mkubwa wa Marekani katika mtandao wa kiuchumi duniani sio wa kuuvunja kirahisi hivyo.

1. Bank zote duniani value ya pesa huwa translated kwa dollar
2. Financial institute ya Marekani ndiyo inayohusika katika miamala ya bank zote kuhamisha na kupokea pesa duniani
3. Mitandao (networks)mikuu duniani imeanzishwa na wamarekani na ndio inayoiongoza dunia kiuchumi na kwa kila kitu na sio tiktok.
4. Uchumi wa Marekani uliongeza nguvu zaidi katika utawa wa Bill Clinton kwa kufungua wigo kibiashara na viwanda kwa kuruhusu mataifa ya kigeni kujenga viwanda nchini Marekani. Kuna viwanda vya Wachina, Wajapani, wakorea, wajerumani, wafaransa, waingereza, warusi etc.

Moja ya viwanda ambayo nilishawahi kuajiriwa ambavyo ni vya kimataifa chini Marekani ni
1) World Color kampuni ya uchapishaji duniani makao makuu yako jimbo la Qwebecor, Canada na supplier wa mitambo ya robot (robotic interface systems) katika uchapaji ni mjerumani, ikikorofisha wajerumani wanakuja kuweka sawa.

2) North America Nissan Manufactuaring, nilifanya makao makuu Smirna kiwanda Chenye uwezo wa kuzalisha magari 1,200 ndani ya saa 24, Tennessee, hiyo ni kampuni ya kijapani, unapoingia hapo kitandani kuna bango kubwa limeandikwa, "YOU ARE ENTERING THE FOREIGN TRADE ZONE."

Bidhaa za viwanda ili kupata soko nchini Marekani yenye wastani wa watu zaidi ya 300 milioni, lazima ujenge viwanda vya kuzalisha bidhaa nchini humo, una import raw material kuendesha viwanda na sio products

Kwa mantiki hiyo kuua uchumi wa Marekani ni kuua uchumi wa dunia ambao Marekani ni egemeo la wenzo jambo ambalo sio jepesi.

Mafuta anayojivunia mwarabu wawekezaji wakuu katika makampuni ya Mafuta ni matajiri wa Marekani.

Haya yote mnayoona na Ruto anavyohadaika ni kutapatapa kwa Mrusi maana aliingia kichwakichwa kwenye vita ya Ukrane akifikiri ataimaliza nchi hiyo kwa wiki moja, lakini kinachoendelea vita hiyo imekuwa gunia la musumari ambayo Urusi imejitwika, na sasa anatapatapa na hizi propaganda.
 
Back
Top Bottom