William Ruto has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars because soon the Dollar will be worthless

William Ruto has urged his citizens to get rid of U.S. Dollars because soon the Dollar will be worthless

Ungejua mimi sina njaa na I am above religion.Halafuu,usingekuwa na njaa ungekuwa karai la zege la Marekani,tena katika uovu?You don't know what you are talking about.
Sasa mkuu kweli tuache dola tunazoletewa na disapora kisa ushauri wako.Na kama upo above religion sasa neno ""Evil""ndio kitu gani ulimaanisha???
 
Hasheem Thabit?Mimi nazungumzia issue nyingine wewe unakwenda kwenye issue nyingine,wewe moron wa US kweli kweli.
Angekucheeka sababu anajua nguvu ya dollar na utamu wake.Ruto mwenyewe kaficha dollar zake Geneva afu wewe unatuambia sisi tufuate ushauri wako.🤣🤣🤣🤣
 
Unajua Sodoma MUNGU aliiangamiza kwa sababu gani,Sodomy.So that is key.Sodomy inaleta laana kwa Taifa,so it is urgent and must be adressed quickly.
Mwakiembe anatumia Cheap politics over petty issues kwa manufaa yake kisiasa wakati watanzania tuna mambo muhimu yanatotusumbua.
 
Mwakiembe anatumia Cheap politics over petty issues kwa manufaa yake kisiasa wakati watanzania tuna mambo muhimu yanatotusumbua.
Narudia issue ya Sodomy ni key,sio petty.Sodoma iliharibiwa kwa sababu ya sodomy na kama Taifa hatutaki kwenda huko,it must be adressed urgently.

Halafu wewe ni mtu wa ajabu sana,sodomy ni petty wakati our people are being iniated into Satanism!? Hivi hujui kwamba sodomy is an initiation ritual into Satanism,you are so dumb.There is no doubt that you are zombified by your American handlers,ndio maana inakuwa vigumu kwako kuelewa logic iliyoko nyuma ya haya mambo.
 
Not possible

Currency dominance inakua backed na many things including
1. Strong Navy (US navy is way more powerful than the next 10 countries combined, hence assured security of trade routes around all world oceans, which attracts confidence and faith on working partners, bring peace and co)
2. Military in general (self explanatory)
3. Strong economy (vipofu wanaona)
4. Advanced Technology and medicine (China is behind bars)
 
Narudia issue ya Sodomy ni key,sio petty.Sodoma iliharibiwa kwa sababu ya sodomy na kama Taifa hatutaki kwenda huko,it must be adressed urgently.

Halafu wewe ni mtu wa ajabu sana,sodomy ni petty wakati our people are being iniated into Satanism!? Hivi hujui kwamba sodomy is an initiation ritual into Satanism,you are so dumb.There is no doubt that you are zombified by your American handlers,ndio maana inakuwa vigumu kwako kuelewa logic iliyoko nyuma ya haya mambo.

Narudia issue ya Sodomy ni key,sio petty.Sodoma iliharibiwa kwa sababu ya sodomy na kama Taifa hatutaki kwenda huko,it must be adressed urgently.

Halafu wewe ni mtu wa ajabu sana,sodomy ni petty wakati our people are being iniated into Satanism!? Hivi hujui kwamba sodomy is an initiation ritual into Satanism,you are so dumb.There is no doubt that you are zombified by your American handlers,ndio maana inakuwa vigumu kwako kuelewa logic iliyoko nyuma ya haya mambo.
Kwahiyo tuifadhi pesa za Iran na Urusi mkuu.Hujawahi kushika dola nyingi mkuu na ndio maana unakuja na utabiri wa uongo na kweli kuhusu dola na pia una chuki binafsi na husda dhidi ya serikali ya marekani.Nadhani udini wa mashariki ya kati na ubaguzi wa kisaikolojia na kiimani na kimapokeo uliokaririshwa kwenye miadhara na ujinga wa kutosafiri duniani ndio kunakufanya uwe na utabiri wa Abunwasi(Abu-nuas)😂😂😂😂
 
Kwani Saudi Arabia ni nchi yangu,kila mmoja anatetes nchi yake,acha uzuzu wewe.Halafu jambo ovu kama sodomy unalichekea,you seem to be so evil.
Wewe marekani umeona ushoga na usagaji ila hujauona urusi na iran na saudia na tanzania ndio maana unatushauri kususia dola ya marekani na tuchukue ya urusi.Hueleweki,mara tususie dola,mara marekani evil.Be open chuki zako zinasababishwa na wewe kua zombie wa mashariki ya kati mkuu.
 
Wewe marekani umeona ushoga na usagaji ila hujauona urusi na iran na saudia na tanzania ndio maana unatushauri kususia dola ya marekani na tuchukue ya urusi.Hueleweki,mara tususie dola,mara marekani evil.Be open chuki zako zinasababishwa na wewe kua zombie wa mashariki ya kati mkuu.
Nelson you cannot be salvaged,you are so zombified.Zamishwa na handlers wako,the CIA or whatever American evil Institution you are in.
 
Wewe marekani umeona ushoga na usagaji ila hujauona urusi na iran na saudia na tanzania ndio maana unatushauri kususia dola ya marekani na tuchukue ya urusi.Hueleweki,mara tususie dola,mara marekani evil.Be open chuki zako zinasababishwa na wewe kua zombie wa mashariki ya kati mkuu.
Fuata link hii 👇,labda itakufungua akili kuhusu the imminent dollar collapse.

 
Kama ulivyo zombiefied na watu wa mashariki mkuu.Ushauri wako naukataa sababu umekaa kishabiki sio kisomi,
I am not Pro-East or West Nelson,I use logic,so I judge every single situation on a case to case basis.
Hata hivyo niseme be hivi,most decisions made by the West are dumb,irrational and stupid.
 
You are burrying your head in the sand,the facts on the ground tells it all.

Lakini mbona mnaitetea sana US,tena such an evil empire.Lazima mtakuwa na an unhealthy relationship nayo.Au wewe ni sehemu ya wale wa Mwakyembe!?

Huyu alishasahaulika anatafuta relevance tu sasa mama amuone, hana jipya! Msomi wa phd anaongea matapishi haya na wewe unamfuata tu?. Hamna anayetetea US tunasema ukweli, wabongo mmezoea uongo sana so huna tofauti na wengine tunakupa facts, kuzichukua au kukaa ni juu yako.

Sasa huyu si anapromote?? Ukiwa Marekani hata husikii watu wanaongelea haya, tnayaona JF tu hapa. Mambo ya privacy ya mtu nani anahangaika nayo kama sio muhusika?
 
Mm nifuate link walizoandika waafidhina wa mashariki,hakuna jipya zaidi ya wao kujisifia.
Nelson zimeandika na rational people of the West.Wewe ndio maana nasema ni Zombie la the West.Kama usingekuwa zombie ungekuwa open to new ideas.Yaani ni kama wame-lock your brain halafu wakaondoka na password,very sad.
 
I am not Pro-East or West Nelson,I use logic,so I judge every single situation on a case to case basis.
Hata hivyo niseme be hivi,most decisions made by the West are dumb,irrational and stupid.
Ila decision za East ndio sio dumb???
 
Nelson zimeandika na rational people of the West.Wewe ndio maana nasema ni Zombie la the West.Kama usingekuwa zombie ungekuwa open to new ideas.Yaani ni kama wame-lock your brain halafu wakaondoka na password,very sad.
Hata wewe ni zombie la east mkuu.
 
Huyu alishasahaulika anatafuta relevance tu sasa mama amuone, hana jipya! Msomi wa phd anaongea matapishi haya na wewe unamfuata tu?. Hamna anayetetea US tunasema ukweli, wabongo mmezoea uongo sana so huna tofauti na wengine tunakupa facts, kuzichukua au kukaa ni juu yako.

Sasa huyu si anapromote?? Ukiwa Marekani hata husikii watu wanaongelea haya, tnayaona JF tu hapa. Mambo ya privacy ya mtu nani anahangaika nayo kama sio muhusika?
Fact
 
Huyu alishasahaulika anatafuta relevance tu sasa mama amuone, hana jipya! Msomi wa phd anaongea matapishi haya na wewe unamfuata tu?. Hamna anayetetea US tunasema ukweli, wabongo mmezoea uongo sana so huna tofauti na wengine tunakupa facts, kuzichukua au kukaa ni juu yako.

Sasa huyu si anapromote?? Ukiwa Marekani hata husikii watu wanaongelea haya, tnayaona JF tu hapa. Mambo ya privacy ya mtu nani anahangaika nayo kama sio muhusika?
Lakini kwa nini mna-waterdown such an important issue?Hivi you know why Sodom was destroyed by God.Hivi mnajua kwamba Sodomy inaleta laana kwa taifa.Ungetaka Mwakyembe afanye nini,avumilie uovu mbaya wa aina hiyo halafu MUNGU aiangamize Tanzania!?No sodomy sio private issue,it concerns all Tanzanians,labda wasiojitambua kama wewe.

It seems wewe ni mmoja wa wale Mwakyembe aliokuwa ana zungumzia.Mnahamasisha uovu katika jamii yetu!!! Kama Watanzania hatuwezi kuvumilia uovu huu, it must be tackled headon.
 
Lakini kwa nini mna-waterdown such an important issue?Hivi you know why Sodom was destroyed by God.Hivi mnajua kwamba Sodomy inaleta laana kwa taifa.Ungetaka Mwakyembe afanye nini avumilie uovu wa aina hiyo halafu MUNGU aiangamize Tanzania.No sodomy sio private issue,it concerns all Tanzanians,labda wasiojitambua kama wewe,and it must be tackled headon.

Mkuu mbona hueleweki sasa? Unaongealea $$$ kuanguka au sodomy? Tunasema kwa uchumi wa Marekani whether unapenda au not dola itaishi et least miaka mingine 100 mbele bila kuyumba kwa zaidi ya +or-5% usijadili hoja kwa kuleta hisia zako za chuki, lete facts.

Tunajua kwa mfano sarafu ya UAE ina value kubwa sana lkn relevance yake ni nini hadi leo?? Bado dola inatawala pamoja na kuinflate namna hiyo. Issue za sodomy ni private na hamna mwenye proof kwamba yalitokea hayo au ni project tu ya kupumbaza waafrika km zingine, unaaminishwa ujinga ili uendelee kuibiwa kama sasa hivi mmeibuka na ushoga ndo ishakuwa wimbo wa taifa wakati watu wapo busy kuadvance dunia. Mnapoteza muda na trivial issues wakati hao mnaowachukia hata hawajibu wapo busy kuadvance na kuongeza value zaidi ya uchumi wao.
 
Back
Top Bottom