Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
MARAIS wa Afrika wengi ni Wa HOVYO kama huyuInaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen!
Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta.
Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe ni wale wale tu.
Wapatapo madaraka wanageuka na kuwa viumbe vya ajabu kabisa.
Ruto anacheza na moto. Anaulamba moto kwa ulimi.
Not good at all.
Ruto is so disappointing.NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NAONA KAMA KUNA JAMBO SIO ZURI LINAJONGEA
Sasa marehemu anahusikaje?Ogopa sana viongozi wanaojidai kuwa na hofu ya Mungu. Ni wanafki kupitiliza.
Magufuli, Ruto, Samia
Just to mention few.
Magufuli kakukosea nini hapo mkuuOgopa sana viongozi wanaojidai kuwa na hofu ya Mungu. Ni wanafki kupitiliza.
Magufuli, Ruto, Samia
Just to mention few.
Waambie waendelee na upuuzi waone🖕🖕Kwako na Samia wako.
F Samia.
F 🖕SamiaWaambie waendelee na upuuzi waone
Hajakosea kumtaja.Rekodi za magufuli akiagiza wapinzani wake washugulikiwe zipo.Aliwahi kumuagiza spika awatimue bungeni ili wakitoka nje awashughulikie.Magufuli kakukosea nini hapo mkuu
Koma kabisa kumtajataja Rais Mpendwa wa TZ Magufuli. Mbwa mkubwa!!Ogopa sana viongozi wanaojidai kuwa na hofu ya Mungu. Ni wanafki kupitiliza.
Magufuli, Ruto, Samia
Just to mention the few.
Koma weee!!Hajakosea kumtaja.Rekodi za magufuli akiagiza wapinzani wake washugulikiwe zipo.Aliwahi kumuagiza spika awatimue bungeni ili wakitoka nje awashughulikie.
.wapinzani kina nani?Hajakosea kumtaja.Rekodi za magufuli akiagiza wapinzani wake washugulikiwe zipo.Aliwahi kumuagiza spika awatimue bungeni ili wakitoka nje awashughulikie.
Sio Africa mashariki tu.NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NAONA KAMA KUNA JAMBO SIO ZURI LINAJONGEA
Hama nchi uende kwa mabwana zako wazungu au waarabu!Sio Africa mashariki tu.
Afrika kwa ujumla hili bara lina LAANA.