William Rutto kumbe naye ni wa ovyo ovyo tu

William Rutto kumbe naye ni wa ovyo ovyo tu

Ni lazima atumie hiyo njia, kudhihirisha ni nani yupo kwenye 'power'; mstaafu amejisahau kama alishastaafu.
Ukishastaafu, 'power' pia inaondoka; waswahili wanasema kuchomolewa betri.​
 
Unadhani kila aliyepo hapa yupo Tanzania?

Hao wazungu na waarabu ndio walio kusaidia mpaka ulipo sasa na bado mna wahitaji waje kuwa ongozea bandari yenu.

Endelea kukamuliwa tozo na wajanja.
Vipi uko huko unabeba mabox!!? Sisi tulikuwa huko tukaamua kurudi TZ kuja kujenga nchi yetu. Najua unaendelea kubaguliwa huko kama ngedere tu wewe!!
 
Ogopa sana viongozi wanaojidai kuwa na hofu ya Mungu. Ni wanafki kupitiliza.

Magufuli, Ruto, Samia
Just to mention the few.

Muwe mnajaribu kusoma between the line. Hao viongozi wa Tanzania uliowataja wanahusikaje na masuala ya Ruto? Punguza kuonyesha ujinga wako kwa kuropoka kwa kuandika ili nawe uonekane unajua kumbe Juha tu.
 
Vipi uko huko unabeba mabox!!? Sisi tulikuwa huko tukaamua kurudi TZ kuja kujenga nchi yetu. Najua unaendelea kubaguliwa huko kama ngedere tu wewe!!
Nchi yenu ingekuwa mnaijenga mngeomba usaidizi wa kuendeshewa bandari?

Kila siku misaada na mikopo ina sainiwa na Rais kuletwa hapo nchini, mna kipi mlicho kijenga ninyi?

Kazi yenu ni pombe, ngono na kubishana Simba na Yanga wala hakuna muwezacho.
 
Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen!

Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta.

Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe ni wale wale tu.

Wapatapo madaraka wanageuka na kuwa viumbe vya ajabu kabisa.

Ruto anacheza na moto. Anaulamba moto kwa ulimi.

Not good at all.

Cheo ni dhamana siyo tikiti ya kusema au kutenda ya ubinafsi. Cheo hakimwondolei mhusika tabia yake binafsi km ni "school failure" mlevi, mzinzi, mwongo nk ataendelea na tabia hiyo akitumia mamlaka na madaraka ya cheo chake kuimarisha tabia hiyo.
 
Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen!

Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta.

Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe ni wale wale tu.

Wapatapo madaraka wanageuka na kuwa viumbe vya ajabu kabisa.

Ruto anacheza na moto. Anaulamba moto kwa ulimi.

Not good at all.


Wakati mwingine napata ugumu wa kumlaumu Ruto, nyuma ya pilipilka zote sinazoendelea Kenya zinaratibiwa na Odinga kwa kushirikiana na Uhuru! Lengo ni kumkomoa tu na kumvurugia mipango yake!

Ndiyo tunajua Kenya unga umekuwa bei juu ila Odinga amepitia hapo ili tu akapate nusu mkate katika Serikali! Na ndiyo maana anasema siwezi kuongea na Ruto cos sio mwaminifu!

Uhuru na Odinga wanataka nn hasa kwa maslah ya nchi na wananchi wa Kenya total?
 
Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen!

Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta.

Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe ni wale wale tu.

Wapatapo madaraka wanageuka na kuwa viumbe vya ajabu kabisa.

Ruto anacheza na moto. Anaulamba moto kwa ulimi.

Not good at all.


Wapambe wa Rutto wanaofanya haya wanazidi kumharibia badala ya kusaidia.

Ila pia matendo ya Raila na wafuasi wake kwa serikali ya Ruto zinaichochea serikali kutafuta namna ya kuwazima hata kibabe.
MK254 Kenyan zitto junior
 
Kwa Kenya,Serikali na wapinzani,azimio wote wamejaa viburi,wapo tayari nchi Iwade moto,ili mradi kukomoana,
Azimio walikuja na madai na kuitaka serikli ya Kenya kwanza,ishushe bei ya unga ndani ya miezi sita!
Serikali na yenyewe hainq busara,kwa hasira zake,inawakomoa viongozi wakuu wa upinzani,na senior civil servant kwa kuwanyanganya ulinzi,
 
Inaripotiwa kuwa nyumba ya mwanae na Uhuru Kenyatta imevamiwa na watu wa usalama huko Karen!

Majuzi iliripotiwa kuwa serikali imemuondolea walinzi mama yake na Uhuru ambaye ni mke wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta.

Sikudhani Ruto angefanya mambo kama haya. Nilidhani ni mstaarabu. Kumbe ni wale wale tu.

Wapatapo madaraka wanageuka na kuwa viumbe vya ajabu kabisa.

Ruto anacheza na moto. Anaulamba moto kwa ulimi.

Not good at all.

Tena angemchinja kabisa
 
Aende taratibu asipoangalia afiki hata half time
Ni kweli, kwa kulipiza kisasi itapelekea kukosa ushirikiano wa kiuongozi na badala yake kuuona uongozi ni mateso, badala ya furaha.
Kinachotakiwa kufanyika ni mazungumzo tu, na mara zote mazungumzo ndio huwa suluhisho; aitwe mstaafu pamoja na huyo wa upinzani, wakae meza moja wanataka nini na kifanyike nini.​
 
NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI NAONA KAMA KUNA JAMBO SIO ZURI LINAJONGEA
Jicho lako la mwewe, nilikuwa namwambia mke wangu hivi hivi kwa lugha tofauti.ghafla nafungua jf nakuta bandiko hili.Sijui hii sajili ya kiarabu inataka kuchafua hali.
 
Yaani Gachua ndo bure kabisa.Yule naibu Rais anafanya mambo ya hovyo sana.Ruto nae hana sauti .Anafuata tu vile naibu Rais anamuambia.
 
Nchi yenu ingekuwa mnaijenga mngeomba usaidizi wa kuendeshewa bandari?

Kila siku misaada na mikopo ina sainiwa na Rais kuletwa hapo nchini, mna kipi mlicho kijenga ninyi?

Kazi yenu ni pombe, ngono na kubishana Simba na Yanga wala hakuna muwezacho.
Wewe umejenga nini huko uliko? Au umekalia ushoga tu!!?
 
Back
Top Bottom