Pre GE2025 Willibrod Slaa: Anachopigania Tundu Lissu ni kuisafisha CHADEMA

Pre GE2025 Willibrod Slaa: Anachopigania Tundu Lissu ni kuisafisha CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukiwachunguza Mbowe na Museveni wote ni wajinga wanapenda kung'ang'ania madaraka
 
Hivi wakati Kamati kuu ya Chadema ilipojadili pendekezo la kubadirisha vipengele vya Katiba ili kuondoa ukomo kwa cheo cha Mwenyekiti, Dr Slaa na Tundu Lisu walifanya nini kupinga hoja hiyo?
Malalamiko yamekuwa mengi sasa wakati wao wenyewe ndiyo walioidhininisha udikteta wa Mbowe.
Waache kelele.
 
Upadre anataka, anataka mwanamke, urais anataka, dini anataka,siasa anataka, Ubalozi anataka,anaipenda CCM na chadema

Ni mlafi sana!
 
Uchaguzi wa bongo ni balaa, 80% na zaidi wanamkubali Lissu ila utashangaa Mbowe anapita nazo
 
Huyu slaa aliyepewa cheo na mwendazake baada ya kukisaliti chama ktk wakati mgumu wa kuelekea ktk uchaguzi mkuu na kwenda Canada kula Bata ndiye wa kuamini kweli hacheni miZaa bwana
Slaa aliondoka CHADEMA kwa kitendo cha mbowe kumkaribisha Lowassa kwenye chama na kwa mujibu wa Slaa alisema Lowassa Ni fisadi na hayupo tayari kuwa mnafiki kwa mtu ambaye alishamkataa miaka 9 hapo kabla Sasa nikuulize Kati ya mbowe na slaa Nani alikuwa msaliti wa chama?
 
Back
Top Bottom