Uchaguzi 2020 Wilson Mahera: Kuna Viongozi wa Vyama vya siasa ambao wamejipanga kuharibu Taswira ya Uchaguzi Mkuu 2020


Kamanda ni wapi kajibu upuuzi? Mbona kajibu uzushi wenu?
 
Huyu mpuuzi Sana, anajua Watanzania Ni wajinga Sana? Siku zake zinahesabika
 
Mpaka sasa Tume yetu ya uchaguzi iko vizuri sana! tangu nianze kupoga Kura sijawahi kuona tume imejiandaa vizuri kama mwaka huu 2020!
hongera kwa tume kuweni imara msitetereke, Tume ikikubali kutetereshwe mtasababisha matatizo makubwa,
 
JK alisema za kuambiwa changanya na za kwako. Mahera kuwa mwangalifu, baadaye utabaki peke yako. Mfano yanayoendela hivi sasa Nigeria ukiacha kauli ya icc, Mike Pompeo nae ametoa kauli anataka uchunguzi ufanyike, sasa mambo yakiharibika hapa Tanzania watendaji wa NEC lazima mtawajibika.
 
Membe sio kiongozi wa juu wa ACT bali ni mgombea wa urais kupitia ACT.Kaenda juzi ACT. Na hana mvuto wowote. Watu wameamua kuungana na mgombea mwenye mvuto. Kwenye ujazaji wa fomu ni sababu za kipuuzi ndio zilitumika kuwaengua fullstop.
 
Mahera anaua soo baaada ya ushenzi wa tume kuwekwa hadharani. Hicho anachoagizwa kufanya kitampeleka pabaya. Aache mshindi halali apatikane, vinginevyo machafuko yako wazi peupe.

Membe sio kiongozi wa juu wa ACT bali ni mgombea wa urais kupitia ACT.Kaenda juzi ACT. Na hana mvuto wowote. Watu wameamua kuungana na mgombea mwenye mvuto. Kwenye ujazaji wa fomu ni sababu za kipuuzi ndio zilitumika kuwaengua fullstop.
Huo unao uita upuzi ndiyo takwa la kisheria. Kumbuka kila statement ya kisheria unaweza kuathili. Tatizo mnazani Ukiwa Upinzani basi utahurumiwa. Wakati wenzenu wa CCM wanajili makatibu kata wa chama ambao wanajielewa mnawafikiri ni wajinga. Kwa taarifa yenu vyama vyenu ambavyo havina uongozi ulioenea kila kona ya nchi vitaendelea kupigwa bao na CCM mpaka basi.
 
Usidanganye watu kijana. Yanayoendelea Nigeria huwezi kuyaletea mfano hapa, vitu viko live kila mtu anaona.
 
Hivi Mahera anatuchukuliaje Sisi??Kwani Kwa Uelewa wa Mahera Tume ina Taswira gani mbele ya jamii??

Yani anadhani watu wenye akili timamu wanaona Taswira nzuri Kwa Tume hii inayosimamia na kuhakikisha CCM inashinda Kwa hila?
 
Hivi Mahera anatuchukuliaje Sisi??Kwani Kwa Uelewa wa Mahera Tume ina Taswira gani mbele ya jamii??

Yani anadhani watu wenye akili timamu wanaona Taswira nzuri Kwa Tume hii inayosimamia na kuhakikisha CCM inashinda Kwa hila?
Mkileta uzushi kwa tume Mahela anawabana Mbavu, mkileta uzushi kwa Magufuli Polepole anawana Mbavu mpaka mnashindwa kupumua. CDM mliambiwa mapema moto wa Magufuli unatisha. 2015 jina la Magufuli ndilo lilipatia ushindi mwembamba CCM. Baada ya miaka mitano baada ya kushima nchi amejipambanua zaidi kwa kutimiza zaidi ya asilimia80 ya ahadi za uchaguzi. Sasa usishangazwe na nyomi lake analopata na mahaba anayopewa na Watanzania. Ushindi wake mwaka 2020 utakuwa ni wakimbunga maana siyo kwa mahaba haya.
 
Machafuko yanini bwashee?
embu acheni kufikiria machafuko fikirieni amani kwanza.
twendeni taratibu kama mabadiliko yatakuja na yataletwa na CCM.taratibu tu tutafika bwashee mnapopataka.
Taratibu !? maujinga
 

Ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichovaa koti la chama cha siasa. Hakuna taasisi yoyote inayoweza kuwachukulia ccm hatua yoyote. Mifano halisi ipo.
 
Kwa candidates wa The Hague, Mahela yupo kati ya vinara
 
Huku wakiwa wamewaengua mamia ya wagombea wa upinzani na kuwapitisha mamia ya Ccm bila kupingwa!! Mbaya zaidi wakiwa wanafanya figisu za kutowaapisha mawakala wa Chadema.

Anatuona watanzania wajinga sana huyu mzee , sasa tutamuonesha wiki ijayo!!
Hivi Mahera anatuchukuliaje Sisi??Kwani Kwa Uelewa wa Mahera Tume ina Taswira gani mbele ya jamii??

Yani anadhani watu wenye akili timamu wanaona Taswira nzuri Kwa Tume hii inayosimamia na kuhakikisha CCM inashinda Kwa hila?
 
Ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichovaa koti la chama cha siasa. Hakuna taasisi yoyote inayoweza kuwachukulia ccm hatua yoyote. Mifano halisi ipo.
Mshauri Msajili akifute kama unadhani CCM siyo chama Cha siasa.
 
Viongozi wa vyama pinzani wenyenia ovu na uchaguzi huu washafahamika,wakijaribu wanapigwa spana.
Mkuu, we unaunga mkono wizi, ulaghai, utapeli na uharamia wote unaofanywa na ccm na vibaraka wake akina Mahela ?!
 
Mkuu, we unaunga mkono wizi, ulaghai, utapeli na uharamia wote unaofanywa na ccm na vibaraka wake akina Mahela ?!
Acha uzushi weka ushahidi wa uharamia wao ili tukujue kwamba wewe siyo mnafiki, mpayukaji, mchumia tumbo, hopeless. Let's ushahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…