Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kila siku anajitokeza kuongea upuuzi tu, anaendelea kujidanganya na hayo matamko yake yasiyo na maana kila wakati, watanzania wa leo hawadanganyiki tena.
Anyway, naona Congress ya Marekani wameshamuandikia Magufuli barua nyingine kumkumbusha kulinda haki za raia, huyo Mahera muacheni aendelee kutapika tu.
Kamanda ni wapi kajibu upuuzi? Mbona kajibu uzushi wenu?