Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

Wameiga ya wasukuma wa uzalendo academia.
FIKIRA ZA UKABILA HAZIWEZI KUTUPELEKA POPOTE.. SI VYEMA KUFANYA SENSITIZATION YA UKABILA KWA MASUALA YA SIASA AMBAYO NI ZA KITAIFA.
 
I
singida imenjanjaruka..wanyaturu wameamua..wabaki wale wanafiki wanyiramba.
Wanyiramba wamesoma, hawawezi kufanya maamuzi kwa vile mtu filani kafanya vile. Ni tafauti na wanyaturu ambao wanafahamiana karibu wote.
 
Waliona sifa kutupokonya madiwani na leo tunawapokonya wabunge.

Hasara iko wapi kati ya kupoteza jani ktk nyumba na nguzo ya nyumba??
Acha vita iendelee..!! Am watching.
 
Correction...
Nimesoma darasa moja na Wilson Elisha Nkhambaku Ilboru na kumaliza wote 1996...Wilson hajawahi kuwa member wala kiongozi wa UKWATA, yeye alikuwa ni mwana-CASFETA(Umoja wa Wanafunzi wa Madhehebu ya Kipentekoste).

Pia Lazaro alikuwa ni Rais wa UKWATA Tanzania, siyo tawi la Ilboru tu.Lazaro ni Mlutheri, Wilson ni Mpentecostal

Mengine inaweza kuwa uko sahihi kiasi, not 100%.

Asante mkuu Ki Mun vipi kuhusu busara, hekima, uadilifu wake mkiwa shuleni? Kwa maana kuhusu up stairs sina mashaka, wazee wa Ilboru nawaheshimu sana. Hata niliposikia kuhusu Lazaro kuomba kujiunga CDM sikushangaa maana ndipo walipo wenzake kwa asilimia kubwa.

Nimetamani kumjua katika nyanja hizo ili niendelee kupata amani na aina ya watu wanaojiunga CDM. asante.
 
Asante mkuu Ki Mun vipi kuhusu busara, hekima, uadilifu wake mkiwa shuleni? Kwa maana kuhusu up stairs sina mashaka, wazee wa Ilboru nawaheshimu sana. Hata niliposikia kuhusu Lazaro kuomba kujiunga CDM sikushangaa maana ndipo walipo wenzake kwa asilimia kubwa.

Nimetamani kumjua katika nyanja hizo ili niendelee kupata amani na aina ya watu wanaojiunga CDM. asante.
Provided yuko CCM ni wazi atakuwa hana uadilifu wowote, LAKINI akitangaza tu kujiunga CDM tayari atakuwa amepata utakaso. UJUHA WA AJABU.
 
Anaitwa Wilson Nkambaku, Kwa sasa ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya aliyepangiwa kazi mwaka huu. Alikua mkuu wa wilaya awamu ya nne katika wilaya za Meatu na Arumeru kabla ya kurithiwa na Alexander Mnyeti.

Kwanini anaondoka?

1.Ikumbukwe huyu kijana wa Kinyaturu ndiye aliyerithi mikoba ya Nyalandu kwenye kiti Urais wa UKWATA pale Iiboru Sekondari miaka ya nyuma baada ya kumaliza muda wake.

2. Exposure zake zote nje ya nchi ni sawa na za Mh Nyalandu, alifanikiwa haya yote kupitia kwa kaka yake huyu ambaye ameondoka CCM na kwenda CHADEMA.

3.Alishinda nafasi ya Ubunge kwenye kura za maoni CCM 2010 jimbo la Singida Magharibi, lakini akadhulumiwa kwa fitna na hongo za CCM,alihamia CHADEMA ili kufanikisha mipango yake ambapo aliaminiwa na wananchi wakaahidi kumchagua kwa kura zote lakini baadae aliyekua Rais wakati huo alitumia nguvu nyingi kwa kumtumia Mh Nyalandu kumshawishi asihamie CHADEMA ili jimbo la Singida Magharibi lisiende na maji,ailirudi CCM kwa kushawishiwa na Nyalandu na baadae kupewa ukuu wa Wilaya.

4.Ndiye rafiki mkubwa sana pengine kuliko hata marafiki wengine wa Nyalandu hapa nchini.

5.Hawezi kuiona future yake ya kisiasa kwenye hii CCM iliyojaa visasi iliwa kaka yake ameondoka CCM.

5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu.

6. 2020 kijana wa Kinyiramba Elibariki Kingu ajiandae mapema tu kuachia jimbo la watu.Itakua ni Combination ya Tundulu LISSU+Nyalandu kumnadi Nkambaku.


Je,mnafikiri Nyalandu yuko peke yake?
Kuna mengina ndani ya kapu, Lakini kuna tetesi kua Mh Nyalandu ana Marafiki zake Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa sasa wa wilaya na mikoa wasiopungua 100 ambao ndio walikua wapambe zake kwenye kusaka sahihi za kukamilisha mipango ya kugombea Urais 2015 ambao watamfuata muda si mrefu.

CCM nawaasa kaeni mtulie tuu, msianze kuchafua watu wanapoonfoka chamani. Watafteni na hawa 100 kabla hawajaondoka.
This is JF RUBBISH. Jamani tumechoka na uzwauzwa wenu
Unaanzaje kusema Nyarandu ana wenyeviti 100..!?!
Hata kama anao, what's the big deal..!?
Au tumesahau nguvu ya Lowasa...?
Alikuwa akiungwa mkono na wakurugrenzi was halmashauri kwa 99%.
Alikuwa anawalipa makatibu wa CCM mshahara mwingine toka mfukoni mwake...
Aliungwa mkono hadharani na Wenyeviti wa CCM zaidi ya 60%..?
Lakini alipohama alifuatwa na wangapi??
Sembuse huyu fala
Ni wale wapumbavu tu ndio wanaweza kutishika na .kuhama eti ataondoka na wengi
 
Singida is becoming a hotbed of political revival!

Wanyaturu na Wanyiramba wanatufundisha kitu hapa!
 
ni kitu gani Mungu aliona kwa Mfalme daudi , mpaka kumchagua kuwa mfalme ,,,,,, Mungu aliona yule simba aliyetaka kuvamia kondoo wa nyumbani ,,,,,, alikuwa na roho ya unyenyekevu wenzake wapo nyumbani yeye anaenda kuchunga ,,,,,,,,,, nyalandu na chadema ,,,,, mimi naona hicho ,,,,,, wewe uliye goliath subiri aokote mawe ,,,,, kichwa chako kwaheri ,,chezea imanai ya kilokole , time will tell
 
Asante mkuu Ki Mun vipi kuhusu busara, hekima, uadilifu wake mkiwa shuleni? Kwa maana kuhusu up stairs sina mashaka, wazee wa Ilboru nawaheshimu sana. Hata niliposikia kuhusu Lazaro kuomba kujiunga CDM sikushangaa maana ndipo walipo wenzake kwa asilimia kubwa.

Nimetamani kumjua katika nyanja hizo ili niendelee kupata amani na aina ya watu wanaojiunga CDM. asante.
Willy is SMART of course, huwezi kuwa rafiki wa Lazaro kama kichwa chako hakifanyi kazi sawasawa na huna uwezo wa kufikiri haraka, atakuacha umesimama barabarani...ukiwa na akili hakuachi, ndo maana nafikiri anaukubali mno uwezo wa kufikiri wa Lissu, Mbowe na vijana wengine wa Chadema!
 
mnahaha kumsafisha nyarandu eti ana features kama za nyarandu !!!!hahahaha baa vichaa bana
 
Back
Top Bottom