Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

Anaitwa Wilson Nkambaku, Kwa sasa ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya aliyepangiwa kazi mwaka huu. Alikua mkuu wa wilaya awamu ya nne katika wilaya za Meatu na Arumeru kabla ya kurithiwa na Alexander Mnyeti.

Kwanini anaondoka?

1.Ikumbukwe huyu kijana wa Kinyaturu ndiye aliyerithi mikoba ya Nyalandu kwenye kiti Urais wa UKWATA pale Iiboru Sekondari miaka ya nyuma baada ya kumaliza muda wake.

2. Exposure zake zote nje ya nchi ni sawa na za Mh Nyalandu, alifanikiwa haya yote kupitia kwa kaka yake huyu ambaye ameondoka CCM na kwenda CHADEMA.

3.Alishinda nafasi ya Ubunge kwenye kura za maoni CCM 2010 jimbo la Singida Magharibi, lakini akadhulumiwa kwa fitna na hongo za CCM,alihamia CHADEMA ili kufanikisha mipango yake ambapo aliaminiwa na wananchi wakaahidi kumchagua kwa kura zote lakini baadae aliyekua Rais wakati huo alitumia nguvu nyingi kwa kumtumia Mh Nyalandu kumshawishi asihamie CHADEMA ili jimbo la Singida Magharibi lisiende na maji,ailirudi CCM kwa kushawishiwa na Nyalandu na baadae kupewa ukuu wa Wilaya.

4.Ndiye rafiki mkubwa sana pengine kuliko hata marafiki wengine wa Nyalandu hapa nchini.

5.Hawezi kuiona future yake ya kisiasa kwenye hii CCM iliyojaa visasi iliwa kaka yake ameondoka CCM.

5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu.

6. 2020 kijana wa Kinyiramba Elibariki Kingu ajiandae mapema tu kuachia jimbo la watu.Itakua ni Combination ya Tundulu LISSU+Nyalandu kumnadi Nkambaku.


Je,mnafikiri Nyalandu yuko peke yake?
Kuna mengina ndani ya kapu, Lakini kuna tetesi kua Mh Nyalandu ana Marafiki zake Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa sasa wa wilaya na mikoa wasiopungua 100 ambao ndio walikua wapambe zake kwenye kusaka sahihi za kukamilisha mipango ya kugombea Urais 2015 ambao watamfuata muda si mrefu.

CCM nawaasa kaeni mtulie tuu, msianze kuchafua watu wanapoonfoka chamani. Watafteni na hawa 100 kabla hawajaondoka.
Duh hata kwenye siasa hajulikan kwanza ndio nasikia jina lake hana madhara afungashe virago
 
Mbona magufuli Alisema mwanza wasivunjiwe ndo waliompa kura,ila maeneo wengine yote aliiba kura za Lowasa ! Na hili nalo linafanywa,kikabila,kisukuma au Kitanu yusiligi ??? Msisahau kauli za bwana wenu na kuchonga tu kama ndimi zimeng'ooka !
 
..wale kima walionunuliwa majuzi toka chadema hawafiki hata moja ya elfu ya caliber ya nyalandu...ccm inakufa..tena kwa kasi kubwa....maana hata watu wa lowassa waliobaki ccm sasa wamekaa mkao wa kutimka mda ukifika...achilia mbali watu wa nyalandu....

..mbegu ya ukabila inayopandwa na uongozi wa awamu hii inaota kwa kasi...na sasa makabila yanayokandamizwa yataanza kuungana.....na itakuwa kaskazini vs kanda ya ziwa....na mda utasema....tayari Arusha....Moshi ...na Mbeya wameliona hili.....mda utasema......
 
Aondoke tu, mbona kachelewa aisee, hana faida kwa chama
Anaitwa Wilson Nkambaku, Kwa sasa ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya aliyepangiwa kazi mwaka huu. Alikua mkuu wa wilaya awamu ya nne katika wilaya za Meatu na Arumeru kabla ya kurithiwa na Alexander Mnyeti.

Kwanini anaondoka?

1.Ikumbukwe huyu kijana wa Kinyaturu ndiye aliyerithi mikoba ya Nyalandu kwenye kiti Urais wa UKWATA pale Iiboru Sekondari miaka ya nyuma baada ya kumaliza muda wake.

2. Exposure zake zote nje ya nchi ni sawa na za Mh Nyalandu, alifanikiwa haya yote kupitia kwa kaka yake huyu ambaye ameondoka CCM na kwenda CHADEMA.

3.Alishinda nafasi ya Ubunge kwenye kura za maoni CCM 2010 jimbo la Singida Magharibi, lakini akadhulumiwa kwa fitna na hongo za CCM,alihamia CHADEMA ili kufanikisha mipango yake ambapo aliaminiwa na wananchi wakaahidi kumchagua kwa kura zote lakini baadae aliyekua Rais wakati huo alitumia nguvu nyingi kwa kumtumia Mh Nyalandu kumshawishi asihamie CHADEMA ili jimbo la Singida Magharibi lisiende na maji,ailirudi CCM kwa kushawishiwa na Nyalandu na baadae kupewa ukuu wa Wilaya.

4.Ndiye rafiki mkubwa sana pengine kuliko hata marafiki wengine wa Nyalandu hapa nchini.

5.Hawezi kuiona future yake ya kisiasa kwenye hii CCM iliyojaa visasi iliwa kaka yake ameondoka CCM.

5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu.

6. 2020 kijana wa Kinyiramba Elibariki Kingu ajiandae mapema tu kuachia jimbo la watu.Itakua ni Combination ya Tundulu LISSU+Nyalandu kumnadi Nkambaku.


Je,mnafikiri Nyalandu yuko peke yake?
Kuna mengina ndani ya kapu, Lakini kuna tetesi kua Mh Nyalandu ana Marafiki zake Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa sasa wa wilaya na mikoa wasiopungua 100 ambao ndio walikua wapambe zake kwenye kusaka sahihi za kukamilisha mipango ya kugombea Urais 2015 ambao watamfuata muda si mrefu.

CCM nawaasa kaeni mtulie tuu, msianze kuchafua watu wanapoonfoka chamani. Watafteni na hawa 100 kabla hawajaondoka.
 
Sasa kika anaekuja CDM anataka uraisi sikutuharibia chama chetu.
 
Wana kila sababu, ndg huungana kumpinga adui ukizingatia wanataka kummaliza Lisu, waungane tu
Wanyaturu sio wapuuzi kiasi hicho. Hii ni propaganda ya machadema ya kutaka kuwatenganisha Wanyaturu na Wairamba.
 
Wanyaturu sio wapuuzi kiasi hicho. Hii ni propaganda ya machadema ya kutaka kuwatenganisha Wanyaturu na Wairamba.
Hao ni watani wa jadi na wanadharauliana sana.
Nakuhakikishia kitendo mlichomfanyia Lisu kimeamsha hisia na wameanza kuungana
 
..wale kima walionunuliwa majuzi toka chadema hawafiki hata moja ya elfu ya caliber ya nyalandu...ccm inakufa..tena kwa kasi kubwa....maana hata watu wa lowassa waliobaki ccm sasa wamekaa mkao wa kutimka mda ukifika...achilia mbali watu wa nyalandu....

..mbegu ya ukabila inayopandwa na uongozi wa awamu hii inaota kwa kasi...na sasa makabila yanayokandamizwa yataanza kuungana.....na itakuwa kaskazini vs kanda ya ziwa....na mda utasema....tayari Arusha....Moshi ...na Mbeya wameliona hili.....mda utasema......
Dua la kuku.
 
Hapo hizo fitina mtaje MTU mmoja wanamwita alhaji Misanga baada ya kushindwa kura za maoni alipata bp kunusuru mambo walikaa wakaongea kwa busara ndio akapata ukuu wa wilaya. Kingu ni msanii anatumia sana event kuonyeaha anafanya kazi lakini utoto mwingi ahadi hewa zisizotimilizika. Siasa za kukamiana na kuchafuana kuliko kujenga umoja ninapomuona naona Giza na unafiki mkubwa katika siasa
 
...5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu...
Kwa hiyo sasa Nyalandu hana doa hata kidogo baada ya kuhamia Chadema? Ha ha ha, maajabu ya mabavicha hayaishi.
 
Anaitwa Wilson Nkambaku, Kwa sasa ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya aliyepangiwa kazi mwaka huu. Alikua mkuu wa wilaya awamu ya nne katika wilaya za Meatu na Arumeru kabla ya kurithiwa na Alexander Mnyeti.

Kwanini anaondoka?

1.Ikumbukwe huyu kijana wa Kinyaturu ndiye aliyerithi mikoba ya Nyalandu kwenye kiti Urais wa UKWATA pale Iiboru Sekondari miaka ya nyuma baada ya kumaliza muda wake.

2. Exposure zake zote nje ya nchi ni sawa na za Mh Nyalandu, alifanikiwa haya yote kupitia kwa kaka yake huyu ambaye ameondoka CCM na kwenda CHADEMA.

3.Alishinda nafasi ya Ubunge kwenye kura za maoni CCM 2010 jimbo la Singida Magharibi, lakini akadhulumiwa kwa fitna na hongo za CCM,alihamia CHADEMA ili kufanikisha mipango yake ambapo aliaminiwa na wananchi wakaahidi kumchagua kwa kura zote lakini baadae aliyekua Rais wakati huo alitumia nguvu nyingi kwa kumtumia Mh Nyalandu kumshawishi asihamie CHADEMA ili jimbo la Singida Magharibi lisiende na maji,ailirudi CCM kwa kushawishiwa na Nyalandu na baadae kupewa ukuu wa Wilaya.

4.Ndiye rafiki mkubwa sana pengine kuliko hata marafiki wengine wa Nyalandu hapa nchini.

5.Hawezi kuiona future yake ya kisiasa kwenye hii CCM iliyojaa visasi iliwa kaka yake ameondoka CCM.

5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu.

6. 2020 kijana wa Kinyiramba Elibariki Kingu ajiandae mapema tu kuachia jimbo la watu.Itakua ni Combination ya Tundulu LISSU+Nyalandu kumnadi Nkambaku.


Je,mnafikiri Nyalandu yuko peke yake?
Kuna mengina ndani ya kapu, Lakini kuna tetesi kua Mh Nyalandu ana Marafiki zake Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa sasa wa wilaya na mikoa wasiopungua 100 ambao ndio walikua wapambe zake kwenye kusaka sahihi za kukamilisha mipango ya kugombea Urais 2015 ambao watamfuata muda si mrefu.

CCM nawaasa kaeni mtulie tuu, msianze kuchafua watu wanapoonfoka chamani. Watafteni na hawa 100 kabla hawajaondoka.

Sasa umeongea. Nini. Ulokole Wa mtu utaujua wewe. Afu umeweka falacy za ajabu. Hivi humu JF. Lini Watu wataelimika na hata Logic ile ya General studies. Kujua hoja. Major minor na conclusion Binadamu huwezi msifia Hasa katika mambo ya Ndani ya moyo wake. Majambazi wengi handsome. Na malaya wengi ni sura nzuri na za upole. Chadema jiundeni kWa misingi na sera. Sasa Hivi mmekuwa kama Wanawake Wa kizaramo. Gubu. Umbeya. Hoja na ajenda zisizo na tija kwa yeyote. Picha ya Lisu Hospital sasa imekuwa sera ya kusaka sympathy —-Chama cha Sympathy ..chama cha kupinga mambo ambayo ni ya Nchi. Nchi ikinunua chupi. Utaskia Mbona ya Blue na Sio kijani. So sad.
 
Back
Top Bottom