Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Lisu mwenyewe hata kusimama hawezi....watu wema watasimama na LISSU.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu mwenyewe hata kusimama hawezi....watu wema watasimama na LISSU.
Ok.Ila hawamzidi bichwa kwa hilo.
hapana mkuu.Wewe umemsahau yuole aliyesema wasukuma wasibomolewe kwa sababu wamemchaguaMachadema yamekalia ukabila tu.
Human face inahusika sana..Kwa hiyo Wanyaturu wanafanya maamuzi yao kikabila?
Alisema wasukuma?hapana mkuu.Wewe umemsahau yuole aliyesema wasukuma wasibomolewe kwa sababu wamemchagua
hivi kweli mmemsahau muhamasishaji wa ubaguzi hapa nchini
Tupe nondo mkuu, wengine hatuyajui..Correction...
Nimesoma darasa moja na Wilson Elisha Nkhambaku Ilboru na kumaliza wote 1996...Wilson hajawahi kuwa member wala kiongozi wa UKWATA, yeye alikuwa ni mwana-CASFETA(Umoja wa Wanafunzi wa Madhehebu ya Kipentekoste).
Pia Lazaro alikuwa ni Rais wa UKWATA Tanzania, siyo tawi la Ilboru tu.Lazaro ni Mlutheri, Wilson ni Mpentecostal
Mengine inaweza kuwa uko sahihi kiasi, not 100%.
Sasa nimejua kwa nini Nyalandu aliongoza maombi ya kumwombea Lissu akiwa Mbeya.. Nafikiri huyo katibu aliratibuAnaitwa Wilson Nkambaku, Kwa sasa ni Katibu wa CCM mkoa wa Mbeya aliyepangiwa kazi mwaka huu. Alikua mkuu wa wilaya awamu ya nne katika wilaya za Meatu na Arumeru kabla ya kurithiwa na Alexander Mnyeti.
Kwanini anaondoka?
1.Ikumbukwe huyu kijana wa Kinyaturu ndiye aliyerithi mikoba ya Nyalandu kwenye kiti Urais wa UKWATA pale Iiboru Sekondari miaka ya nyuma baada ya kumaliza muda wake.
2. Exposure zake zote nje ya nchi ni sawa na za Mh Nyalandu, alifanikiwa haya yote kupitia kwa kaka yake huyu ambaye ameondoka CCM na kwenda CHADEMA.
3.Alishinda nafasi ya Ubunge kwenye kura za maoni CCM 2010 jimbo la Singida Magharibi, lakini akadhulumiwa kwa fitna na hongo za CCM,alihamia CHADEMA ili kufanikisha mipango yake ambapo aliaminiwa na wananchi wakaahidi kumchagua kwa kura zote lakini baadae aliyekua Rais wakati huo alitumia nguvu nyingi kwa kumtumia Mh Nyalandu kumshawishi asihamie CHADEMA ili jimbo la Singida Magharibi lisiende na maji,ailirudi CCM kwa kushawishiwa na Nyalandu na baadae kupewa ukuu wa Wilaya.
4.Ndiye rafiki mkubwa sana pengine kuliko hata marafiki wengine wa Nyalandu hapa nchini.
5.Hawezi kuiona future yake ya kisiasa kwenye hii CCM iliyojaa visasi iliwa kaka yake ameondoka CCM.
5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu.
6. 2020 kijana wa Kinyiramba Elibariki Kingu ajiandae mapema tu kuachia jimbo la watu.Itakua ni Combination ya Tundulu LISSU+Nyalandu kumnadi Nkambaku.
Je,mnafikiri Nyalandu yuko peke yake?
Kuna mengina ndani ya kapu, Lakini kuna tetesi kua Mh Nyalandu ana Marafiki zake Wenyeviti na Makatibu wa CCM wa sasa wa wilaya na mikoa wasiopungua 100 ambao ndio walikua wapambe zake kwenye kusaka sahihi za kukamilisha mipango ya kugombea Urais 2015 ambao watamfuata muda si mrefu.
CCM nawaasa kaeni mtulie tuu, msianze kuchafua watu wanapoonfoka chamani. Watafteni na hawa 100 kabla hawajaondoka.
nani huyo alisema?Alisema wasukuma?
Nyie mnabomoa kwa ukabila siyo?Mkuu Salute..
Straight and Precise Answer.
Makabila ya mkulu ndiyo hayabomolewiKwa hiyo Wanyaturu wanafanya maamuzi yao kikabila?
Wapi alisema wasukuma wasibomolewe?nani huyo alisema?
Sura ya Mwigulu Nchemba inaishara fulani, hata kama sii kwa viwango vya juu sana lakini haungi mkono matumizi ya smg area D.singida imenjanjaruka..wanyaturu wameamua..wabaki wale wanafiki wanyiramba.
5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu.
Kwa hiyo Wanyaturu wanafanya maamuzi yao kikabila?
Hakuna namna inabidi iwe hivyoKwa hiyo Wanyaturu wanafanya maamuzi yao kikabila?
Duh! Savimbi?Bado mwigulu naye tunataka aje ukawa
Mna shida na wasukuma tu waliompa bwana yule urais.Mbona anachelewa?wakitaka na kujitenga Singida iwe nchi wajitenge tu hatuna shida na wanyatutu.
Precise PangolinMkuu Salute..
Straight and Precise Answer.
Hahahaha nimecheka kwa nguvu mkuu duh!hapana tuna shida na Maalim!Mna shida na wasukuma tu waliompa bwana yule urais.