Tetesi: Wilson Nkambaku anafuata baada ya Nyalandu kuondoka CCM!

Tupe nondo mkuu, wengine hatuyajui..
 
Sasa nimejua kwa nini Nyalandu aliongoza maombi ya kumwombea Lissu akiwa Mbeya.. Nafikiri huyo katibu aliratibu
 
singida imenjanjaruka..wanyaturu wameamua..wabaki wale wanafiki wanyiramba.
Sura ya Mwigulu Nchemba inaishara fulani, hata kama sii kwa viwango vya juu sana lakini haungi mkono matumizi ya smg area D.
N.B wanyiramba ni ndugu wa wanyaturu. (futa fikra za kikabila)

Magufuli anaharibu utaifa wetu kwa kuushangaa shangaa urais.
 
5. Ni kijana mwaminifu na mlokole asiyekua na doa hata kidogo, features zake ni sawa na za Nyalandu.

Haya mengine kuyaandika kama vile wewe ni Mola mmmmh

Naona mnaandika tu kutingisha watu wa chama chenu waanze kuwabembeleza.. kama mimi nipo huko nawafurumusha kabisa.
 
Kwa hiyo Wanyaturu wanafanya maamuzi yao kikabila?

For your information Wanyaturu wako wachache sana ni kabila dogo sana ambalo nafikiri hata wasomi wao ni wachache sana.Na kwa sababu ya uchache wao wanahulka ya kusaidiana.

Kumbuka aliyejeruhiwa ni Mnyaturu na amewatetea wanayturu wengi huko kwao.Siwezi kuita UKABILA ila wanajiona kwa uchache wao ni rahisi sana kumalizwa,Ndiyo sababu kuu wanapenda kuwa karibu na kusaidiana.

Sina uhakika kama Mwigulu hata JOIN fungu hili hata kama kwenda ACT Wazalendo
 
Mbona anachelewa?wakitaka na kujitenga Singida iwe nchi wajitenge tu hatuna shida na wanyatutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…