Wimbi la kuibuka watu JF wenye mitaji mikubwa kulikoni wenzetu?

Wimbi la kuibuka watu JF wenye mitaji mikubwa kulikoni wenzetu?

Mkuu wasikutishe.....
Hizo Pesa mimi ndio nawapa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Japo leo siku nzima nimekunywa uji na Mahindi..
Sio kama sina hela, ni Hamu tuu, nimekumbuka kijijini.

Humu watu wananichukulia poa sana, subiri tuu....๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Habari zenu wadau?

Nije kwenye mada? Humu jf Naona kuna watu wameibuka wana hela kubwa kubwa wanataka ushauri wa kufanya biashara!.

Mi naomba kujua mbona wanazidi tu kulikoni mara leo huyu ana million 150 mara 200 hujakaa sawa mwingine 750 asee!

Mi ninashangaa sana maana kila ukipita huko unakutana nao! Basi na sisi naomba mtuambie na sisi tupate hizo hela nzito nzito! Natumaini sijamkela mtu ni mawazo yangu tu


Nawasilisha [emoji120]
Jf wako watu wa kila kada siasa biashara mawaziri matapeli wadangaji waganga wajasiriamali madokta wanasheria kifupi kada zote Wala usishangae
 
Mkuu wasikutishe.....
Hizo Pesa mimi ndio nawapa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Japo leo siku nzima nimekula uji na Mahindi..
Sio kama sina hela, ni Hamu tuu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
We Kaka wewe..umejua nichekesha uwiiii..๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Kuna bilionea mmoja wa marekani anaitwa DanLock anasema mojawapo ya swali la kijinga kabisa kwa mtu kuuliza ni "Nina $$$$$$$$ nizifanyie biashara gani?"
 
Kwamba wanaoziokota hela pasi na biashara? Hahahaha......
 
Mkuu wasikutishe.....
Hizo Pesa mimi ndio nawapa[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Japo leo siku nzima nimekunywa uji na Mahindi..
Sio kama sina hela, ni Hamu tuu, nimekumbuka kijijini.

Humu watu wananichukulia poa sana, subiri tuu....[emoji13][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaaa Utakua serious liniiii?
 
Mkuu wasikutishe.....
Hizo Pesa mimi ndio nawapa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Japo leo siku nzima nimekunywa uji na Mahindi..
Sio kama sina hela, ni Hamu tuu, nimekumbuka kijijini.

Humu watu wananichukulia poa sana, subiri tuu....๐Ÿ˜๐Ÿ˜
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ndio hivyo kaka. JF kila mtu anaandila anachojisikia. Kwenye uhalisia mambo hayako hivyo. We fikiria tu, mtu ana 400m, anakuja kuomba ushauri wa namna ya kufanya biashara na kuziongeza. Kazipataje, si atumie mbinu hio hio kuziongeza?
Inawezekana,

Kuna wanaopa kwa urithi,n.k
 
dronedrake
Asante kwa lyrics hapo juu, hebu rudi kidogo unyooshe sehemu moja tu imepinda:

Ma-super stars tunangโ€™aa, kwa pamba tunazovaa.

Zinaficha njaa, ........

Cheers [emoji1635]
 
Back
Top Bottom