Balozi wa Marekani tena? Kama ni kweli aise, kumbe ninyi ni wasaliti wa nchi yetu?Hii trend iendelezwe Watanzania wote kwa maelfu waikatae CCM.
Leo nimeusoma ujumbe wa Balozi wa Marekani inawatia wananchi faraja sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balozi wa Marekani tena? Kama ni kweli aise, kumbe ninyi ni wasaliti wa nchi yetu?Hii trend iendelezwe Watanzania wote kwa maelfu waikatae CCM.
Leo nimeusoma ujumbe wa Balozi wa Marekani inawatia wananchi faraja sana.
utupwaji wa kadi za vyama vinavyosajili wanachama kiholela na kubeba matumaini kwamba kimevuna wanachama wengi mahali fulani, ni kujiandaa na kilio cha siku zote.Kuanzia kesho kazi inaendelea.
Hakifi, unajidanganyaChama Kinakufa
Samia ameingizwa chakaKuanzia kesho kazi inaendelea.
Enzi za kujivua gamba kilitaka kumfia mkwere akamkimbilia Mangula akawanusuruKife kabisa.
Tena kimfie huyu chotara wa kike aliyekosa uchungu kwa rasilimali za Tanganyika, ili akumbukwe kwenye historia daima kuwa chama chakavu kiliangushwa na wananchi katika utawala wake.
Utairudisha wapiHata mimi nitarudisha kadi yao maana hata siwaelewi.
NILISIKIA KUWA DC AMBAYE WANACHAMA WATARUDISHA KADI ZA CCM ATATENGULIWA VIPI HUKO DC ANA HALI GANI?Kuanzia kesho kazi inaendelea.
CCM hawajawah kuwa wagumu hata siku moja ni wepesi mno.CCM bila polisi, tume ya uchaguzi na wasimamizi wa chaguzi ni wepesi mno.